Harmonize wewe ni brand kubwa, gari unalotumia la V8 J200 ni la zamani!

Bongo kidizain weng wanafake yy yupo real hapend show off na mavitu yenye hawez kufikia and its nice person kuwa real mbn mm natumia toyota voltz ya 2017 na nafika club bila kendembwe
 
Bongo kidizain weng wanafake yy yupo real hapend show off na mavitu yenye hawez kufikia and its nice person kuwa real mbn mm natumia toyota voltz ya 2017 na nafika club bila kendembwe
Kweli hii JF hamna mnyonge humu wala hoehae cha msingi ni ww mwenyewe kujipakulia minyama utakavyo,hongera kaka.......😀😀😀
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mara mia ya kondeboy........afande seleee ni legend katika muziki ila anatembelea Toyota Noah imechoka balaa
Angepata Ubunge kipindi kile sahizi angekuwa nalo V8 jipyaaa
 

kuna siku niliandika haya kwenye uzi mmoja wa diamondplatnumz,[emoji23][emoji23][emoji23]nilipigwa mapovu mpaka nikatakata.

inafikia hatua mtu unajiuliza kwani anapewa au ananunua!!!!atleast juzi kaenda kuipokea familia yake na mercedes benz.sijajua ni yake au ya kukodi ila nilisuuzika roho[emoji3577][emoji3577].
 
Hawa ndio wale kabla ya kununua gari anauliza, hivi gari gani kali nichukue,ina maana yeye yuko tayari kuendesha gari lenye test ya watu wengine...
 
Benz aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…