Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Siku asipoji skim kwa white cement na kujipaka hayo marangi rangi kuanzia kwenye nywele hadi mwili mzima dogo atamkimbia
 
Hiv hawa wasanii huwa hawawaoni watoto wazuri vigoli bikra wa kuwaoa???????
Au ndo ushamba na mapepe ya ngono + starehe???
 
Baada ya Jacqueline Wolper kuthibitisha penzi lake kwa msanii wa WCB, Harmonize, muimbaji huyo wa ‘Bado’ ameibuka na kudai kuwa muigizaji huyo ni mke wake, na anachosubiri ni kuhalalisha tu.

x13248960_733309796808616_276779801_n.jpg.pagespeed.ic.mviNVeesju.jpg


Uhusiano wa wawili hao hauna hata mwezi tangu uweke bayana.

Akiongea na kipindi cha The Premier cha Kings FM, Harmonize alisema hajali watu wanavyosema kuwa Wolper ana umri mkubwa kumzidi.

Msikilize zaidi hapo chini akiongelea mahaba yake na Wolper.
Harmonize - Kuhusu Wolper - download and stream
Yule Mchaga atakubali kuolewa na mtoto wa kiswahili namna ile?Sijui , huwa haitokei, angalia akina Vanesa mdee, Na madem wengi wa kichagga lazma waolewe na watu waliotulia.
HARMONISER alishapigwa kibuti siku nyingi, akaja jamaa mwengine wa KIHA naye kala cha mbavu ndani ya wiki, hii habari ipo kwa millard ayo na sasa ataolewa na mtu wa huki kwao Kaskazini kwa Wastaarabu
 
Back
Top Bottom