Ujue anataka kuachia ngoma ndio zao hizo hakuna mapenzi ni kick tuWalikua kimya nljua wameachana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue anataka kuachia ngoma ndio zao hizo hakuna mapenzi ni kick tuWalikua kimya nljua wameachana
uyu kila mwaka anapungua umri guess now atakua 19 yrs lolThat's what's up....and good for them.
Btw, how old is Ms. Wolper?
Hahaha![]()
Zamu yake
Hata kama... Mara zingine ni vyema mtu ajihifadhie heshima hata kidogo tu... Limama lote lile kumvulia mtoto chupi!!! Anatumia akili zipi kwanza? Halafu heti kwenye mambo muhimu kama kampeni nae ana hamasisha...pumbavu kabisa apeleke laana kwaoMbwa mbabe ndiye anapata papuchi, hawezi kaa kwenye foleni kamwe.
Mbona ninasikia eti yule mkuu wa mkoa kijana mwenye jina la utingo pia anamiliki kwa kuibia na kwenye campaign ya kupanda miti walikuwa pamoja.Hata kama... Mara zingine ni vyema mtu ajihifadhie heshima hata kidogo tu... Limama lote lile kumvulia mtoto chupi!!! Anatumia akili zipi kwanza? Halafu heti kwenye mambo muhimu kama kampeni nae ana hamasisha...pumbavu kabisa apeleke laana kwao
Tuendelee kuwa wasikilizaji tu[emoji119] [emoji119] ...tusije maliziwa hasira bureMbona ninasikia eti yule mkuu wa mkoa kijana mwenye jina la utingo pia anamiliki kwa kuibia na kwenye campaign ya kupanda miti walikuwa pamoja.
Wacha aliwe hadi pumbu atakumbuka samaki nchanga
HahaaaWolper anakula ganja ?
Ni kweli kabisa.Mbona ninasikia eti yule mkuu wa mkoa kijana mwenye jina la utingo pia anamiliki kwa kuibia na kwenye campaign ya kupanda miti walikuwa pamoja.
Wolper alichanganyikwa kuachwa na Mkongo alikuwa anapunguza stress kwa dogo naona kapata sponsor kaenda China karudi Yuko busy na biashara zake Hana habari na Chinga.Chinga boy kimyàaaaaas
kwani imekueje?Masikini Harmonize Atarudi Ntwara Kulima Korosho