Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Wenzetu hao wenye macho ya bandia, ila sishangai kwani PAPUCHI HAINAGA MISS CALL.
 
40090649fc7ac26de5402652d7661d18.jpg

Zamu yake
yan nimescrol page zote kuipata hii picha,,hahaha

kwel zam yake ss
 
Mkuu nimetolea mfano ya kwamba afadhali jamaa angeangalia demu mkali afu ambrand kupitia WCB na sio huyo mama na mbona watoto wakali bongo wengi tu afu saizi yake ya nn kuhangaika na hilo jimama hata haendani naye...??[emoji15]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sema tuu hupendi couple yao, kwenye mapenzi wasio endana huachana
 
vivulana vya watu vinaona sehemu za siri za wadada wakubwa kuliko wao
 
wachen vijana waburudike, japo nina wasiwasi kama dogo anauweza huo mzigo, maana shughuli kama zile "TALL" zinataka mpini wa haja sio mbilinge mbilinge za tubamia.
 
karusha jiwe gizani raia zinagugumia maumivu ngoja ang'ang'ane kutafuna ngozi akidhani maini atakesha
 
uelewa finyu wa wasanii wetu aiseee haya tuonee mbele kunani
 
Back
Top Bottom