Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Siku asipoji skim kwa white cement na kujipaka hayo marangi rangi kuanzia kwenye nywele hadi mwili mzima dogo atamkimbia
 
Hiv hawa wasanii huwa hawawaoni watoto wazuri vigoli bikra wa kuwaoa???????
Au ndo ushamba na mapepe ya ngono + starehe???
 
Yule Mchaga atakubali kuolewa na mtoto wa kiswahili namna ile?Sijui , huwa haitokei, angalia akina Vanesa mdee, Na madem wengi wa kichagga lazma waolewe na watu waliotulia.
HARMONISER alishapigwa kibuti siku nyingi, akaja jamaa mwengine wa KIHA naye kala cha mbavu ndani ya wiki, hii habari ipo kwa millard ayo na sasa ataolewa na mtu wa huki kwao Kaskazini kwa Wastaarabu
 
Yule Mchaga atakubali kuolewa na mtoto wa kiswahili namna ile?Sijui , huwa haitokei, angalia akina Vanesa mdee, Na madem wengi wa kichagga lazma waolewe na watu waliotulia
Vanesa Mchaga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…