Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio na wewe unayetushangaa sisi,Matatizo mnayo nyie mnao shangaa mapanzi ya watu
Tatizo timu.Mbona harmonize ana akili zake , waacheni wapendane ilimradi hawavunji sheria za nch
HahahaTatizo timu.
Wivu wa kikeacha ushamba we nangu nangu! umetoka sitimbi uko umekuja dar kutafuta maisha, unaacha kuchanga ili uwasaidie ndugu zako unaanza kuleta usengelema na kanyimbo kako kamoja ako, we lete ujinga wako town apa urud kwenu uko ukalime ming'oko! kick hazitafutwi ivyo mdogo wangu
Ukizingatia wana mwezi mmoja na wiki 2, mbwembwe kibaoooo,
"ujinga mzigo"
Nkubwa ana ogea chitili waya? Ntonto wa mwenzio kumuita nkubwa hata hainogi .....!Njomba nkubwa eh!!Kuja njini chi kocha,kocha kuanja kula unchi ya wankubwa wake
Hivi kumbe ikikaa mda bila kutumika inajirenew?Tatizo ni kwamba 'K' huwa haichachi... usikute dogo alikuta mashine haijatumika ka wiki 3 hivi.. kitu tight...
mambo haya mazitooo