Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.