Harmony OS 2 yaonesha kwamba China inajitegemea katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia

Harmony OS 2 yaonesha kwamba China inajitegemea katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia

SHIDA HUNA ELIMU NA MAMBO HAYA
πš†πš’πšŸπšž πš–πš”πšžπšž πšžπš”πšžπšπšŽ πš‘πšŠπš™πš˜ πšŠπš—πšŠπš˜πš—πšŠ πš πš’πšŸπšž πš πšŠπšŒπš‘πš’πš—πšŠ πš”πšžπš’πšœπš‘πš’πš—πšπšŠ πš‘πš’πš’ πšŸπš’πšπšŠ
 
Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
π™Ίπš πšŠπš—πš’ πšŠπš“πšžπšŠ πš”πšŠπš–πšŠ 𝚊𝚝𝚊 πš”πš πšŽπš—πš’πšŽ πšŒπš˜πš–πš™πšžπšπšŽπš› πš™πš’πšŠ πšžπš—πšŠπš πšŽπš£πšŠ πš”πšžπšπšžπš–πš’πšŠ πš‘πš’πšŸπš˜ πšŸπš’πšπšž πš‹πš’πš•πšŠ πš”πšžπš πšŠ 𝚊𝚌 𝚒𝚊 πšπš˜πš˜πšπš•πšŽ? πš–πšŠπš’ πš‹πšŽ πšπš–πšŠπš’πš• πš—πšŠ πš’πš˜πšžπšπšžπš‹πšŽ? 𝚊𝚞 πš•πš’πš—πš’ πšŠπš•πš’πšœπš’πšπš— πš’πš— πšπš‹ πšŠπš”πšŠπš–πš‹πš’πš πšŠ πš•πšŠπš£πš’πš–πšŠ 𝚊𝚠𝚎 πš—πšŠ πšŠπšŒπš˜πšžπš—πš 𝚒𝚊 πšπš–πšŠπš’πš•?
 
Unajitoa ufahamu nahisi...hiyo ios yako kama ingekuwa haikubali Google services sidhani kama leo ingekuwa kwenye soko kwa maana app kama WHATSAPP, INSTAGRAM, FACEBOOK, TWITTER, GMAIL zingekuwa hazifanyi kazi....hiyo OS ya Huawei haikubali Google services na app nilizozitaja hapo juu kwenye hiyo os ni ndoto je wewe unaweza tumia sim isiokuwa na hizo app?tuanzie hapo
Unafanya sideloading sio lazima kuwe na playstore
 
Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
Lakini sio kwamba hizi app ni za US na serikali yake inapiga marufuku kwa kampuni hizi kufanya ushirikiano na China, sababu ya kuwa serikali ya China itakuwa inachakachua information za watu.

Tatizo sio kwamba whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe google lakini kama ni mfumo wa Mchina sijui kama US itaruhusu kampuni zake kufanya kazi na operating system ya China labda app yao tiktok tu...
 
Jamani Asia inanyanyuka iyo haisingizii wazungu Kama sie.
Huku akili ambazo zingebuni Mambo makubwa muda mwingi ni kuongea kula tunda kimasihara,
Mara vumbi la Kongo.yaani sijui tunafanya Nini kwa ajili ya wajukuu wetu.hatuwazi baada ya 200 years Kuna Nini litatokea Nini kwetu.
Ngoja tuwaze namna ya kumkuna mwanamke kisimi anyonywe akojoe
 
Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
TATIZO LA BAADHI YA WATU HUMU MNAKUAGA KAMA MNAWASHWA NIMEKUULIZA KATIKA MAELEZO YANGU KUNA SEHEMU NIMETAJA HIZO APP ZINAMILIKIWA NA GOOGLE?....ACHA KUKULUPUKIA MAMBO UNAJIFANYA UNAJUA KULIKO WENYEWE PUMBAVU
 
Ssa mbona ulisema mtu hatoweza kuzitumia bila Google services ulimaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23]mzee mambo usiyoyajua yaache tu yakupite
Sikia wewe kitobo....kusema huwezi kutumia bila Google services ndo nimesema hizo app mali ya Google?...acha kudandia gali kwa mbele utaliwa shwain wahedi
 
Nina Huawei mate 30 pro kama hiyo kwenye picha
Hizo app nilizo kutajia hazifanyi kazi mpaka uweke Google services kila unapofungua hizo app ina sema uweke kwanza Google services nimeshazunguka nayo kwa kila fundi software imeshindikana ninayo tu natumia vitu vingine ila sio vitu vinavyotaka Google services....nimemua Hadi kuiuza lakini inasumbua kwa sababu ya hiyo...alafu lipo jitu linatumia tecno k7 maneno meengi linabishana
20210608_015917.jpg
 
Nina Huawei mate 30 pro kama hiyo kwenye picha
Hizo app nilizo kutajia hazifanyi kazi mpaka uweke Google services kila unapofungua hizo app ina sema uweke kwanza Google services nimeshazunguka nayo kwa kila fundi software imeshindikana ninayo tu natumia vitu vingine ila sio vitu vinavyotaka Google services....nimemua Hadi kuiuza lakini inasumbua kwa sababu ya hiyo...alafu lipo jitu linatumia tecno k7 maneno meengi linabishana
View attachment 1811935
sikia man Trump alizipiga kampuni zote za kimarekani ikiwemo Facebook so hazipo sio kwa sababu ya Google services. Hafu pia mmarekani anajitekenya mwenyewe coz hizo app zote mchina ana altenative yake Kama Whatsapp kuna wechat na Google Kuna baidu
 
Wachina wenyewe wanasema hawana uwezo wa kugundua kitu... wao ni kucopy tu... elimu ya ugunduzi wanayo wachache sana duniani china alipatikana mmoja tu aliyegundua wireless device tena kwa kuiga iga mfumo wa cordless
 
Hiyo ni android os iko hivyo na kwa taarifa yako hawawezi kutoboa kwa sababu dunia ya leo bila Google services ni sawa na bure Google services Kwenye hivyo vifaa haisupport anyway ngoja wajuvi wake
Hiyo Google Services ipo China ? China ni consumer mkubwa wa mobile devices kwao kutokua na google services ni kawaida... jambo la kujiuliza ni watakua wanainfluence gani kwenye mataifa ambayo tumezoea google services ili iweze kupenetrate ila within China kazi imekwisha na kwa tabia ya China yakulinda manafacture wake wa ndani tusubiri jambo Soon.
 
sikia man Trump alizipiga kampuni zote za kimarekani ikiwemo Facebook so hazipo sio kwa sababu ya Google services. Hafu pia mmarekani anajitekenya mwenyewe coz hizo app zote mchina ana altenative yake Kama Whatsapp kuna wechat na Google Kuna baidu
Mkuu umewahi tumia Baidu? WeChat ninaitumia, ingawa huwa yaniletea shida kwenye simu. Nikiitoa, hupa sipati hizo shida.
 
TATIZO LA BAADHI YA WATU HUMU MNAKUAGA KAMA MNAWASHWA NIMEKUULIZA KATIKA MAELEZO YANGU KUNA SEHEMU NIMETAJA HIZO APP ZINAMILIKIWA NA GOOGLE?....ACHA KUKULUPUKIA MAMBO UNAJIFANYA UNAJUA KULIKO WENYEWE PUMBAVU
Basi sawa tufanye umeshinda
 
Back
Top Bottom