Harmony OS 2 yaonesha kwamba China inajitegemea katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia

Harmony OS 2 yaonesha kwamba China inajitegemea katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia

Lakini sio kwamba hizi app ni za US na serikali yake inapiga marufuku kwa kampuni hizi kufanya ushirikiano na China, sababu ya kuwa serikali ya China itakuwa inachakachua information za watu.

Tatizo sio kwamba whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe google lakini kama ni mfumo wa Mchina sijui kama US itaruhusu kampuni zake kufanya kazi na operating system ya China labda app yao tiktok tu...
Katika ban lao sijasikia hilo nilichosikia ni matumizi ya google services.
Lakini hata tu assume ni kweli, mimi nilichopingana na huyo jamaa ni kutaka kuongopea watu kuwa hizo app zote zinategemea google services, ndiyo maana nikamtajia iOS na KaiOs zote hizo wanazimiliki wamarekani.
 
Katika ban lao sijasikia hilo nilichosikia ni matumizi ya google services.
Lakini hata tu assume ni kweli, mimi nilichopingana na huyo jamaa ni kutaka kuongopea watu kuwa hizo app zote zinategemea google services, ndiyo maana nikamtajia iOS na KaiOs zote hizo wanazimiliki wamarekani.
Nimemuongopea nani na uongo upi?....ndugu acha kuwa na kipere utaliwa boya wewe
 
Nimemuongopea nani na uongo upi?....ndugu acha kuwa na kipere utaliwa boya wewe
Umeongopa eti whatsapp, instagram, facebook, twitter haiwezi fanya kazi bila google services. 😂😂😂. Kubali tu kuwa uliandika kitu usichojua kwani kukosea ni shida? Wewe ndiye boya unajua kuwa hukuwa unajua bado unashupaza shingo kama siyo ufala ni nini.
Nimemaliza siwezi endelea bishana
 
Sikia wewe kitobo....kusema huwezi kutumia bila Google services ndo nimesema hizo app mali ya Google?...acha kudandia gali kwa mbele utaliwa shwain wahedi
Babaa mambo mageni kwako hayaa...uliona wapi kua bila Google services huwez tumia hizo apps alaf bado unakaza kichwa
 
Back
Top Bottom