ππππ ππππ πππππ ππππ ππππππ π πππ π ππππππ πππππππππ πππ ππππSHIDA HUNA ELIMU NA MAMBO HAYA
πΊπ πππ ππππ ππππ πππ ππ πππ’π ππππππππ πππ ππππ ππ£π πππππππ ππππ ππππ ππππ πππ π ππ π’π ππππππ? πππ’ ππ πππππ ππ π’ππππππ? ππ ππππ πππππππ ππ ππ πππππππ π πππ£πππ ππ π ππ ππππππ π’π πππππ?Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
Ulichokiandika hapa kinasadifu umasikini wako uliojaa chukiHiyo ni android os iko hivyo na kwa taarifa yako hawawezi kutoboa kwa sababu dunia ya leo bila Google services ni sawa na bure Google services Kwenye hivyo vifaa haisupport anyway ngoja wajuvi wake
Unafanya sideloading sio lazima kuwe na playstoreUnajitoa ufahamu nahisi...hiyo ios yako kama ingekuwa haikubali Google services sidhani kama leo ingekuwa kwenye soko kwa maana app kama WHATSAPP, INSTAGRAM, FACEBOOK, TWITTER, GMAIL zingekuwa hazifanyi kazi....hiyo OS ya Huawei haikubali Google services na app nilizozitaja hapo juu kwenye hiyo os ni ndoto je wewe unaweza tumia sim isiokuwa na hizo app?tuanzie hapo
Hujui haya mamboKuna sehemu nimesema hiz app zinamilikiwa na Google au unatafuta basha kinguvu?
Umekuwa mjinga kutoa matusi sio uungwanaKumshinda mama yako?
Lakini sio kwamba hizi app ni za US na serikali yake inapiga marufuku kwa kampuni hizi kufanya ushirikiano na China, sababu ya kuwa serikali ya China itakuwa inachakachua information za watu.Sasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
Ssa mbona ulisema mtu hatoweza kuzitumia bila Google services ulimaanisha niniπππmzee mambo usiyoyajua yaache tu yakupiteKuna sehemu nimesema hizo app zinamilikiwa na Google?au muwasho umekuzidi?
TATIZO LA BAADHI YA WATU HUMU MNAKUAGA KAMA MNAWASHWA NIMEKUULIZA KATIKA MAELEZO YANGU KUNA SEHEMU NIMETAJA HIZO APP ZINAMILIKIWA NA GOOGLE?....ACHA KUKULUPUKIA MAMBO UNAJIFANYA UNAJUA KULIKO WENYEWE PUMBAVUSasa matusi ya nini mkuu unapata faida gani kwa matusi?
We kubali kuwa ulikuwa unachangia mambo usioyaelewa. Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram hazihitaji google services kufanya kazi.
And by the way kuna fork nyingi tu za android hazina google services moja wapo ni ya Amazon na wana app store yao.
iOS haitegemei google services unless kwa wale wanaotumia gmail na Youtube services and other google services.
Kuna KaiOS hii inayokuja kwenye vismart vitochi, haitaji google services kama hutumii huduma na apps za google. Bado ina whatsapp, na apps kibao zinarun mle.
Hivyo ni upotoshaji kusema eti kutumia whatsapp, twitter, facebook, instagram lazima uwe na google services, siyo kweli.
SIJUI KWENYE KIPI AU UNATAFUTA KUKUNWA?Hujui haya mambo
BASI KUMSHINDA MAMA AKO WEWE AU UNAONAJE?Umekuwa mjinga kutoa matusi sio uungwana
Sikia wewe kitobo....kusema huwezi kutumia bila Google services ndo nimesema hizo app mali ya Google?...acha kudandia gali kwa mbele utaliwa shwain wahediSsa mbona ulisema mtu hatoweza kuzitumia bila Google services ulimaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23]mzee mambo usiyoyajua yaache tu yakupite
sikia man Trump alizipiga kampuni zote za kimarekani ikiwemo Facebook so hazipo sio kwa sababu ya Google services. Hafu pia mmarekani anajitekenya mwenyewe coz hizo app zote mchina ana altenative yake Kama Whatsapp kuna wechat na Google Kuna baiduNina Huawei mate 30 pro kama hiyo kwenye picha
Hizo app nilizo kutajia hazifanyi kazi mpaka uweke Google services kila unapofungua hizo app ina sema uweke kwanza Google services nimeshazunguka nayo kwa kila fundi software imeshindikana ninayo tu natumia vitu vingine ila sio vitu vinavyotaka Google services....nimemua Hadi kuiuza lakini inasumbua kwa sababu ya hiyo...alafu lipo jitu linatumia tecno k7 maneno meengi linabishana
View attachment 1811935
Hiyo Google Services ipo China ? China ni consumer mkubwa wa mobile devices kwao kutokua na google services ni kawaida... jambo la kujiuliza ni watakua wanainfluence gani kwenye mataifa ambayo tumezoea google services ili iweze kupenetrate ila within China kazi imekwisha na kwa tabia ya China yakulinda manafacture wake wa ndani tusubiri jambo Soon.Hiyo ni android os iko hivyo na kwa taarifa yako hawawezi kutoboa kwa sababu dunia ya leo bila Google services ni sawa na bure Google services Kwenye hivyo vifaa haisupport anyway ngoja wajuvi wake
Mkuu umewahi tumia Baidu? WeChat ninaitumia, ingawa huwa yaniletea shida kwenye simu. Nikiitoa, hupa sipati hizo shida.sikia man Trump alizipiga kampuni zote za kimarekani ikiwemo Facebook so hazipo sio kwa sababu ya Google services. Hafu pia mmarekani anajitekenya mwenyewe coz hizo app zote mchina ana altenative yake Kama Whatsapp kuna wechat na Google Kuna baidu
Basi sawa tufanye umeshindaTATIZO LA BAADHI YA WATU HUMU MNAKUAGA KAMA MNAWASHWA NIMEKUULIZA KATIKA MAELEZO YANGU KUNA SEHEMU NIMETAJA HIZO APP ZINAMILIKIWA NA GOOGLE?....ACHA KUKULUPUKIA MAMBO UNAJIFANYA UNAJUA KULIKO WENYEWE PUMBAVU