Harmorapa Fans' Special Thread...

Harmorapa Fans' Special Thread...

Hawezi kudumu kwenye spot light kwa maana yani u star wake haujaletwa na kazi yake ya mziki.
Yani drama zake zimemfanya amekuwa na jina kubwa kuliko mziki wake na watu wengi wanamjua lakini hawajua hata wimbo wake.
Mtu ambaye ameweza mantain kwa drama ni wema sepetu sijui kama hamo ataweza maana siyo muda mrefu watu watachoka hizi drama unless zingekuwa zinaenda sambamba na kazi.
Kazi zake ziko tayari,sasa hivi anatengenezewa mazingara/being branded tayari kulivamia soko la muzik,inasadikika hii ni brain child ya Le mutuz na Swahili radio.
 
Harmo rappa afanye mziki sasa aache ujinga
 
Kazi zake ziko tayari,sasa hivi anatengenezewa mazingara/being branded tayari kulivamia soko la muzik,inasadikika hii ni brain child ya Le mutuz na Swahili radio.
Hivi ni kweli mkuu au unatania...
kwa hiyo le mutuz anafuata nyayo za sk mendez
 
hizi kiki wanazompa huyu jamaa dah
 
Back
Top Bottom