Harmorapa Fans' Special Thread...

Harmorapa Fans' Special Thread...

Duh!kweli usupastaa zigo la mwiba.
Hatupumui kwa habari zake.
 
Hawezi kudumu kwenye spot light kwa maana yani u star wake haujaletwa na kazi yake ya mziki.
Yani drama zake zimemfanya amekuwa na jina kubwa kuliko mziki wake na watu wengi wanamjua lakini hawajua hata wimbo wake.
Mtu ambaye ameweza mantain kwa drama ni wema sepetu sijui kama hamo ataweza maana siyo muda mrefu watu watachoka hizi drama unless zingekuwa zinaenda sambamba na kazi.
Halafu wanamwambia asibweteke,na kulewa ustar,mm kazi yake siielewi au drama za kufanana na harmo? Kweli mjini raha!!!
 
Back
Top Bottom