Harrier Lexus ndiyo gari inayotrend kwa sasa Tanzania

Harrier Lexus ndiyo gari inayotrend kwa sasa Tanzania

Mkuu tuko pamoja siku nikimiliki hili nafsi yangu itakua nyeupeeeeeeee!hata hivyo nashukuru mungu kwa hiki kitoi nilichonacho.
Yaani nikikaa ndani nitakuwa comfortable kabisa..... na njaa ya pesa ndio itaongezeka mkuu.... hizi gari nazielewa sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Jamaa yangu ana brevis 330 kutwa jua kali kafungua vioo anafuta jasho kwa kitambaa tu yaani anajutia wese,so ni bora ukawa na vits lakini ukatembelea mwaka mzima kuliko kuwa na range ukatembelea wiki tu kwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maxresdefault.jpg
Toyota-Harrier-rear.jpg
02.jpg
maxresdefault.jpg
04.jpg
lexus-rx450h-2016-interior.jpg
2012-toyota-toyota-harrier-harrier-2012-harrier-ha-b5cfea.jpg
toyota_harrier_1997_2.jpg
harrier.png
TOYOTA-Harrier-5032_37.jpg
Iko vizur hii gari.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Imo kwenye bajeti na noah zetu au??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom