Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Mpaka uje kupata pesa itakuwa imechuja na hutaikuta sokoni tenaa car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka uje kupata pesa itakuwa imechuja na hutaikuta sokoni tenaa car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Ushawah kuendesha au story za changamsha genge tuTena na hizo foleni za mjini lazima uombe poo..hizo bwana ukiamua kunyoosha goti zinaitika hasa..
Mkuu zitakuja brand nyinginea car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Hivyo hivyo mkuu....yatosha mimi nataka niimiliki tuWakat huo itakuwa inaonekana kama Toyota crest invyoonekana sahv...
Mpaka ukifika wakat wako itakuwa imeshapitwa na wakat
labda isiwepo sokoni mkuu.... tofouti na hapo lazma nilinunueMpaka uje kupata pesa itakuwa imechuja na hutaikuta sokoni tena
Mkuu tuko pamoja siku nikimiliki hili nafsi yangu itakua nyeupeeeeeeee!hata hivyo nashukuru mungu kwa hiki kitoi nilichonacho.a car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Tupo pamoja mkuu, this is a car of my dream tooa car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Yaani nikikaa ndani nitakuwa comfortable kabisa..... na njaa ya pesa ndio itaongezeka mkuu.... hizi gari nazielewa sanaMkuu tuko pamoja siku nikimiliki hili nafsi yangu itakua nyeupeeeeeeee!hata hivyo nashukuru mungu kwa hiki kitoi nilichonacho.
Iko vizur hii gari.
Hizi gari zilinifanya nisome chuo kwa nguvu sana enzi hizo[emoji1]Wakat huo itakuwa inaonekana kama Toyota crest invyoonekana sahv...
Mpaka ukifika wakat wako itakuwa imeshapitwa na wakat
Nimewahi au sijawahi what's the big deal...we unaona gari dili sana..? Kwa bahati hatujuani...just live your life!Ushawah kuendesha au story za changamsha genge tu
Mkuu sasa hivi ndiyo unayo itembelea nnHizi gari zilinifanya nisome chuo kwa nguvu sana enzi hizo[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app