BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Harrier miaka inavozidi ndo wanaiharibu kweny uimara,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na TOCHI HIZITena na hizo foleni za mjini lazima uombe poo..hizo bwana ukiamua kunyoosha goti zinaitika hasa..
Mbona engine capacity ni kawaida sana? Hii ni gari ya kawaida sana. Max speed 180! Ukitaka kuenjoy driving na hasa long safari tumia magari ya Ulaya sio Japan. Magari ya BMW, Benz, Land Rover/Range Rover, Audi nk.Kwanza ina CC1986 engine yake, ikiwa highway speed 100 inatembea km14 kwa lita,city inatembea km 10 mpaka 12 kwa lita
Mkuu tulikuwa tunaongelea swala la fuel consumption, na isitoshe hiyo gari sio ya speed 180 ni above ya hiyoMbona engine capacity ni kawaida sana? Hii ni gari ya kawaida sana. Max speed 180! Ukitaka kuenjoy driving na hasa long safari tumia magari ya Ulaya sio Japan. Magari ya BMW, Benz, Land Rover/Range Rover, Audi nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
nishauri natumia Prado TX 2016Sa hv unamiliki ipi nikupe ushauri mkuu
blame no body
amenHii gari ni tamu sana, kuanzia muonekano wake.....
Inshaallah ndoto zako zitatimia....
Sasa new model si ndio imeboreshwa. Ni hybrid hio inatumia battery na mafutahii uwe na Ubia na shel ya mafuta aiseee mana sio mchezo aiseee tena hzo New Model
Yeah kwenye mafoleni kama haya yetu dar ni raha tu. Ina stop engine unatumia battery so wese haliliki. Speed kuanzia 80km/h engine ndio inapokea battery inaendelea kujichaji unaanza kutumia wese tena.Si kweli mkuu hizo si ni zile zinazotumia umeme zaidi ukiwa speed ndogo?
Vipi mkuu sasa unamiliki gari gani na mm unitie moyoHizi gari zilinifanya nisome chuo kwa nguvu sana enzi hizo[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetulia sana ila kuna watu wanadanganya eti kwenye mafoleni yetu inakula sana were bila kufanya utafitiYeah kwenye mafoleni kama haya yetu dar ni raha tu. Ina stop engine unatumia battery so wese haliliki. Speed kuanzia 80km/h engine ndio inapokea battery inaendelea kujichaji unaanza kutumia wese tena.
Labda hayo ya kizamani ila kwa huo mkwaju wa hybrid kuanzia 2013 ni full burudani.Imetulia sana ila kuna watu wanadanganya eti kwenye mafoleni yetu inakula sana were bila kufanya utafiti