Mkuu nimekukubali..Jamaa yangu ana brevis 330 kutwa jua kali kafungua vioo anafuta jasho kwa kitambaa tu yaani anajutia wese,so ni bora ukawa na vits lakini ukatembelea mwaka mzima kuliko kuwa na range ukatembelea wiki tu kwa mwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
New model zimeboreshwa sio kama zile za zamani,hizo zinatumia umeme zaidihii uwe na Ubia na shel ya mafuta aiseee mana sio mchezo aiseee tena hzo New Model
Kwa trip za mjini lazma upigwe mafuta... Gari ya masafa hiyo, safari ndefu haili mafuta...
aisee message delivered to sir God.a car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Forester man maana hata sikununua hiyo makitu!Mkuu sasa hivi ndiyo unayo itembelea nn
Kwa trip za mjini lazma upigwe mafuta... Gari ya masafa hiyo, safari ndefu haili mafuta...
1litre inaenda KM ngapi kwa Mjini budda bos.....New model zimeboreshwa sio kama zile za zamani,hizo zinatumia umeme zaidi
Kwanza ina CC1986 engine yake, ikiwa highway speed 100 inatembea km14 kwa lita,city inatembea km 10 mpaka 12 kwa lita1litre inaenda KM ngapi kwa Mjini budda bos.....
ipi iyo mkuu hzi za Toyota Harrier 240G, amaKwanza ina CC1986 engine yake, ikiwa highway speed 100 inatembea km14 kwa lita,city inatembea km 10 mpaka 12 kwa lita
Same vision broa car of my dream.... ipo siku nitaimiliki tu.....
Utaimiliki tu one dayNaipenda sana hii gari Basi tu huu umasikini nitaishia kuiona Kwenye picha
Hapana mleta mada kaleta new model ambayo ni premiumipi iyo mkuu hzi za Toyota Harrier 240G, ama
Hata kuiandika tu hajui.Ni harrier lexus mkuu
sent from using iphone 7+ mobile app
4gb ramWeka na specifications zake...
Sent from my TV