Harris kapiga Vs Kifesi ndani ya bifu zito, kisa Mapenzi

Sielewi ilikuwaje Kifesi akawa hana nguo au huko kunyonywa na kushikwa alikuwa kavaa nguo?
 
Ni kweli lakini bado haiondoi ukweli kuwa, wakati wenzetu wakiyatafutia matatizo yao suluhisho.sisi huwa tupo bize kumuachia Mungu. Nimeisikiliza hiyo clip na kwa nilivyosoma ramani, there is still something wrong na kifesi mwenyewe
Wenzetu akina nani?
 
Eti alitaka kumng'ata mkuyenge🤣🤣🤣🤣 genye mbaya Sana.
 
Mwaka huu hakuna ramadhan
Msijarbu hata kufunga kabsa
 
Hii clip yao nimetumiwa sasa hivi whatsup,yaani daah we Mungu watizame wadogo zetu wa kiume.Sijui jamaa ilikuwaje kuwaje mpaka kuanza hiyo michezo.
Alaf hao wote n mapunga cjui
Cloud's nao skuhz wameanza kulea
Mapunga nashindwa
 
Hii clip yao nimetumiwa sasa hivi whatsup,yaani daah we Mungu watizame wadogo zetu wa kiume.Sijui jamaa ilikuwaje kuwaje mpaka kuanza hiyo michezo.
Please Nipm mkuu
 


Mkuu picha ndiyo italeta utamu zaidi.....Weka hata ule ubuyu wa Gwajima wa majuzi tumuone tena.
 
Watumishi wanachafuliwa kwa faida ya nani?
Ole wenu kizazi hiki ...
 
Hana hayo mambo , asingemsema lol , Ila ngoja na yeye aje tumsikie, hawa kuna kitu wanaficha ila kapiga Ndo mchezo wake huu.
Kuhusu kapiga hilo linafahamika ..... hebu nitumie hiyo Audio please
 
Hii clip yao nimetumiwa sasa hivi whatsup,yaani daah we Mungu watizame wadogo zetu wa kiume.Sijui jamaa ilikuwaje kuwaje mpaka kuanza hiyo michezo.
Mkuu ...nitumie pm au ipost hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…