Harris kapiga Vs Kifesi ndani ya bifu zito, kisa Mapenzi

Harris kapiga Vs Kifesi ndani ya bifu zito, kisa Mapenzi

IMG_6680.JPG


IMG_6680.JPG


Ila kifesi na yeye mashalaah bwana, mtoto kaumbika, lips kama zote, wacha tu ubakwe🤣
 
Nchi zilizoendelea majority of them wameruhusu huu upuuzi,kwa hiyo unataka kuwa kama wao.
Umeshasema majority, what if nipo kwenye minority au nipo katika hiyo majority. Je itabadilisha hali halisi ??. Focus on the idea mkuu
 
Umeshasema majority, what if nipo kwenye minority au nipo katika hiyo majority. Je itabadilisha hali halisi ??. Focus on the idea mkuu
Umesema nchi zilizoendelea,hujase minority,pili hizo minority zipo kwenye michakato wa kurusu maswala ya homosexual na moja ya sifa ya kujiunga katika EU,uwe unaheshimu haki za mashoga kama upo kinyume ni ngumu kujiunga.Nawaheshimu wazungu kwa tafiti zao zilizoleta mabadiliko chanya kwenye nyanja mbali mbali,lakini si kila anachofanya mzungu tukichukue,vizuri tuvichukue vibaya tuwaachie.
 
Hao ndio mida ya usiku wanavaa nguo za kike wanaingia club ,nasikia wana maeneo yao ya kujidai.Nakumbuka sister wangu alinisimulia anarafiki yake alisoma nae anaishi USA,sasa alivyorudi akamchukua kampelea club gani huko masaki,sister mshamba,basi anakwambia alikutana na mapunga wamevaa nguo za kike,mixer viatu virefu,full kujipodoa hawana wasiwasi wanajiachia,sister hamu yenyewe ilikata akamuomba rafiki yake amrudishe nyumbani.
ya hii club ipo .ata mimi niliwai ingia nilikuwa na wageni wachina ...tulitoka kula pale chinese restraurant karibu na samaki samaki...niliingia nikajua ni normal bar.
ee bwana si baada ya beer mbili nikaenda washroom mara paap bwabwa la kizungu ili hapa...aisee nilipotoka tu wshroom niliwaambia wachina nimepata dharura niwarudishe hotelini .ili nikaatend hiyo dharura....Dar usiku ni dunia nyingine..
 
hawa wote mapunga....huyu mwenzie aliwa mtokea jamaa angu wa karibu...nilivyoona sms zake sikuamini..jamaa anazo mpaka leo

Mmh kifesi unamsingizia, hanaga hayo mambo binamu
 
Mmh kifesi unamsingizia, hanaga hayo mambo binamu
hivi J Likuli ana kazi gani Wachafu!!!! ....ni zaidi ujuwavyo..Nisingependa kufunguka zaidi....ningepata wasaa wa kukuona live..ningeshea na wewe live evidence...ila kwa hapa kwenye Keyboard only lets be as it is
 
hivi J Likuli ana kazi gani Wachafu!!!! ....ni zaidi ujuwavyo..Nisingependa kufunguka zaidi....ningepata wasaa wa kukuona live..ningeshea na wewe live evidence...ila kwa hapa kwenye Keyboard only lets be as it is

Ahahah mwali wangu , halooo🤣🤣🤣
 
Ila Harris ni ngum kuamini kama anabahashiwa jaman wanaume ni wapi mnakosea jamani dah.Nikimuangaliaga mke wake namuonea huruma kweli.
 
Hao ndio mida ya usiku wanavaa nguo za kike wanaingia club ,nasikia wana maeneo yao ya kujidai.Nakumbuka sister wangu alinisimulia anarafiki yake alisoma nae anaishi USA,sasa alivyorudi akamchukua kampelea club gani huko masaki,sister mshamba,basi anakwambia alikutana na mapunga wamevaa nguo za kike,mixer viatu virefu,full kujipodoa hawana wasiwasi wanajiachia,sister hamu yenyewe ilikata akamuomba rafiki yake amrudishe nyumbani.

yako mengi daslama viuno vimelegea kuliko wanawake zetu
 
Back
Top Bottom