mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah mtoto kipenzi aombe baba ake amuonee huruma,la sivyo hali yake itakua ni tete.Wataishi kama Mashetani,namuonea huruma sana yule aliyekuwa rais wa dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah mtoto kipenzi aombe baba ake amuonee huruma,la sivyo hali yake itakua ni tete.Wataishi kama Mashetani,namuonea huruma sana yule aliyekuwa rais wa dar.
Aombe Mungu apite kwenye kura za maoni.Hahah mtoto kipenzi aombe baba ake amuonee huruma,la sivyo hali yake itakua ni tete.
awe mkulima wa cocoa chai mpungaAende akajiajiri sasa.
Le mutuz kaenda kumletea waganga wa kienyeji kibao toka afrika ya katiHahah mtoto kipenzi aombe baba ake amuonee huruma,la sivyo hali yake itakua ni tete.
Waganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.Le mutuz kamchukulia pesa jana usiku kwa kumzuga kuwa anaenda Afrika ya kati kumletea waganga wa kienyeji wakali
Aondolewe hana la maana hata mojaWakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi .
Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA .
Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .
Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Le mutuz ndio kajitapa hivyo?Le mutuz kaenda kumletea waganga wa kienyeji kibao toka afrika ya kati
😆😆😆😆"ALILEPO KAPO"= amekula vya kutosha sasa awaachie wenzie.
Ujumbe huu umfikie Andrew Chenge pamoja na Stephen Wasira.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Huyu lazima mwenyekiti ampitishe tu, akimkata jina lake anaenda ACT. Ikumbukwe kwamba Ni mmoja wa waanzilishi wa ACT.Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi .
Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA .
Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .
Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Huyu hawezi kukatwa. Akikatwa tu anajiunga na Bernad Membe kule ACTMwakyembe hugawa Rushwa kwa wajumbe kininja usiku na mchana ni vigumu Takukuru wamdake anatumia tigo pesa m-pesa kwa namba ambayo siyo yake.
Umepitishwa na chama chako kumkabili wa ccm?Duh ! Eeeee bhana eeeee !
Vikao vya chama ngazi ya Taifa bado havijaamuaUmepitishwa na chama chako kumkabili wa ccm?
😆😆NI ZAMU YA WAZEE SASA WAKAJIAJIRI!
Alishinda kweli Hadi Sasa ni rais wa mioyo ya wanachadema.Waganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
Alisema atakuwa raisi wa Tanzania sio wa mioyo ya wanachadema.Alishinda kweli Hadi Sasa ni rais wa mioyo ya wanachadema.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Vikao vya chama ngazi ya Taifa bado havijaamua