Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
😆😆😆kweli mkuu. Harafu utasikia mikopo ya vikundi.Kujiajiri wenyewe hawawezi lakini wakiwa jukwaani,utasikia vijana mjiajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆kweli mkuu. Harafu utasikia mikopo ya vikundi.Kujiajiri wenyewe hawawezi lakini wakiwa jukwaani,utasikia vijana mjiajiri.
ile ya TB Joshua wali_edit,haikuwa kweli_kwa lugha rahisi walimuwekea maneno mdomoni kwa kutumia COMPUTERWaganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
AMEKULA VYA KUTOSHA !!!Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi .
Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA .
Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .
Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Waganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
Le mutuz anatumia waganga wa kienyeji kama mbinu haramu za kujipatia pesaWaganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
😆😆😆ALILEPO KAKO
Kwani hakushinda!!?? Tatizo ni kushinda au kutangazwa mshindi!? Kushinda na kutotangazwa mshindi kwa Tz ni kawaida.Waganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
Kama hakutangazwa mshindi, hakushindaKwani hakushinda!!?? Tatizo ni kushinda au kutangazwa mshindi!? Kushinda na kutotangazwa mshindi kwa Tz ni kawaida.
Arudi kwenye ualimu tu. NUKTA.Salma Kikwete mwenyewe ameshindwa kujiajiri imebidi aombe tena ubunge.
😂Salma Kikwete mwenyewe ameshindwa kujiajiri imebidi aombe tena ubunge.
"Kyala atotole kwa mundo ojo" Mwenyez Mungu atutee katika hili watu wa Kyela, hakuna kilichobadilika kipindi chote alichokua madarakani zaidi ya kufumua barabara na kutuachia vumbi tu!!! [emoji27][emoji27] apishe wengine wajaribu pia. #Kinanasi [emoji122][emoji122]Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi .
Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .
Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .
Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
HakutangazwaWaganga watafanya kazi gani,mbona TB Joshua alitabiri Lowasa atashinda...nini kilitokea.
Ndio demokrasia hiyo,agombee peke yake kwani hilo jimbo mali yake.Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi .
Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .
Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .
Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Huyu mama nae sijui vipi.Salma Kikwete mwenyewe ameshindwa kujiajiri imebidi aombe tena ubunge.
TUSEME TU NI WENGI kwa mahesabu ya haraka harakaNa hapo Rungwe wamechukuwa fomu wanaccm wangapi?
Hata kufundisha hawezi tena...Arudi kufundisha'
ametosha'
mkomalien