Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa ccm amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .


Kama mtu hajui hata alichokiandika mwenyewe kwenye andiko lake la PhD utamwamini kuwa kiongozi wako!!!?
 
Mama Salma Kikwete,Hata yeye NAYE Angepumzika tuu,Akala Pension ya Mzee Kikwete Taratiibu.Shida YOTE HIYO ya nini,Kukimbizana na Watoto kwa umri hUU ?.Awaachie akina Brother Rizwan wapambane na vijana wenzao.Ile NGO yake ya WAMA(Wanawake na Maendeleo),Inatosha kumpa Jukwaa la kuonekana kwenye Public.
Madaraka matamu wewe!
 
Kama coincidence jamaa anaoneshwa kwenye all access hapa 🤣🤣🤣🤣🤣

IMG_20200719_140014.jpg

Kweli hamna namna ingine.
"ALILEPO KAKO"
 
Akikosa kupitishwa ukichanganya na yale mabaki ya sumu yaliyosalia basi jamaa tutammmpoteza maana hawa wazee hawawezi kuishi nje ya siasa
 
Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Hivi wewe Dada! Mwakyembe alikufanya nini? Mbona unamfuatafuata sana? Alikunyima uroda nini? Utakufa na stress tu Mwakyembe atarudi kwenye Uwaziri na Ubunge wake bila matatizo yoyote!
 
Hivi wewe Dada! Mwakyembe alikufanya nini? Mbona unamfuatafuata sana? Alikunyima uroda nini? Utakufa na stress tu Mwakyembe atarudi kwenye Uwaziri na Ubunge wake bila matatizo yoyote!
Ni taarifa tu mkuu , tena kutoka ofisi ya ccm Wilaya , Wagombea wamefika 41
 
Mbona taarifa yenyewe imejaa udaku? Pia mara nyingi taarifa za Mwakyembe unatoa negatively sana!!?
kwamba hakuna wagombea zaidi ya 30 jimbo la Kyela ? Kingine ni hiki maadui zangu ni wanaccm akiwemo Mwakyembe , usitegemee nimpambe humu jf , kwanza amerudisha nyuma mno maendeleo ya Kyela
 
kwamba hakuna wagombea zaidi ya 30 jimbo la Kyela ? Kingine ni hiki maadui zangu ni wanaccm akiwemo Mwakyembe , usitegemee nimpambe humu jf , kwanza amerudisha nyuma mno maendeleo ya Kyela
Ni adui yako?
 
Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
2015 MLIANDIKA VICHEKESHO KAMA HIVI YUMO NA MWAKA HUU YUMOO TAKE MA WORDS
 
Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Mwakyembe analeta Uanyafyale, kila msimu wa uchaguzi ukifika anaahidi kuwa ataondoka msimu ujao na raisi anayeondoka madarakani.alianza na Kikwete sasa anadai ataondoka na Magufuli,kafanya ubunge mali yake na ukoo wao wa akina Mwakyembe,ameenda mbali zaidi kwa kudai eti muda ukifika atatuchagulia mrithi wake,ambaye ndie atatwambia tumchague. Huyu anakuwa sawa na akina Warioba, muda umefika awaachie vijana tushamchoka.
 
Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .
Lakini na nyie mumeleta mtu gani hapo kwenye SACCOS yenu jimbo la Kyela, hata jina lake hakuna anayelijua, afadhali mngepigia magoti jamaa wa Uingereza angeleta ushindani. Pia kuhusu CCM simtaki Mwakyembe ila bahati mbaya sana Kinanasi hamuwezi Mwakyembe.
 
Kujiajiri wenyewe hawawezi lakini wakiwa jukwaani,utasikia vijana mjiajiri.
Huwa nakereka na mwanasiasa kutamka kauli ya "vijana mjiajiri" ukirejea fitina alizozifanya hadi anapita kwenye vyeo vya kisiasa balsa tupu
 
Back
Top Bottom