Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Hata kufundisha hawezi tena...
Hajathibitisha ufisadi wa EL mpaka leo...
Aliisaliti Tanganyika...
Akaisaliti Katiba ya Wananchi...
Akajitenga na weledi ili aimbe mapambio...
Labda kama anakwenda fundisha majungu na kudanganya hapo sawa


Kama mbowe alivyoshindwa kudhibitisha kutekwa kwake mpaka leo.
 

Attachments

  • IMG_20200521_212211.jpg
    IMG_20200521_212211.jpg
    46 KB · Views: 1
View attachment 1512208

Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .

UPDATES:
Mwakyembe 252
Mwakifuna 288
Kinanasi 502

Wakuu wa CHadema mnafell Hapo tu.
Hamna Identity. Ni fuata mkumbo. Leo Nyie ndo waandika habari za hao ccm. Nawashangaa sana. My interest siku Zote sio vyama. Lakini JPM. Nachukia sana tabia za watu wavivu wavivu wanaofikiria maneno tu mwaka Mzima bila kazi. Tabia za Watu kama wewe na wengine. Hopeless. Hamna positives. Ndo mana watu makini lazima wawadharau. Mtu makini anakuwa Ana positive mind. Anaona mazuri na mapungufu. Mwangalie Mwenyekiti wenu pamoja na udikteta Wake Lakini Ni muumgwana sana. Anajua kupongeza na anajua kupinga Nk. Watu emotional kama nyie hamuwezi pta nchi. Itakuwa Vita.
 
Wakuu wa CHadema mnafell Hapo tu.
Hamna Identity. Ni fuata mkumbo. Leo Nyie ndo waandika habari za hao ccm. Nawashangaa sana. My interest siku Zote sio vyama. Lakini JPM. Nachukia sana tabia za watu wavivu wavivu wanaofikiria maneno tu mwaka Mzima bila kazi. Tabia za Watu kama wewe na wengine. Hopeless. Hamna positives. Ndo mana watu makini lazima wawadharau. Mtu makini anakuwa Ana positive mind. Anaona mazuri na mapungufu. Mwangalie Mwenyekiti wenu pamoja na udikteta Wake Lakini Ni muumgwana sana. Anajua kupongeza na anajua kupinga Nk. Watu emotional kama nyie hamuwezi pta nchi. Itakuwa Vita.
Very Poor !
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

Mwakyembe - "Nimekuja Kyela nikiwa nimesha shiba msinibabaishe".

Maneno hayo yalimtoka waziri Harrison Mwakyembe alipoulizwa swali na mjumbe katika mkutano mkuu wa wilaya ktk zoezi la kuomba ridhaa apewe kura nyingi za maoni kuelekea Oktoba 2020
 
Back
Top Bottom