Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
na hii ya kusikia harufu ya viazi vinakanagwa ukipita sehemu mana nishachoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
salamu wanazozielewa zaidi majini ni ya kiislamu.ukiwa unapita kwa watu uwe unasalimia.
nishawahi kumuona eneo kama hilo akichana nywele zake ndefu akiwa uchi.Kuniona akashtuka na kuzama mtoni.Nikapita zangu nywele zimenisisimka.Habari jf.
Kwa wenye uzoefu wa hili jambo naomba mnisaidie ni ishara ya nini?
Siku tatu nyuma nilienda kijijini kwetu kusalimia,sasa kama mjuavyo ndugu kijijini huwa ni wengi na ukifika huko basi ni lazima ujitahidi uwatembelee wote kuepusha lawama.
Kilichonishangaza ni kwamba kuna siku nikawa nimeenda kumsalimia ndugu yangu flani ambae anaishi upande wa pili wa kijiji,na ili ufike huko lazima uvuke mto flani unaotenganisha.so baada ya kufika huko tukaongea mawili matatu then me nikaaga kuondoka,wakati narudi navuka ule mto nilikua mwenyewe tu na sikuona kiumbe mwingine yeyote pale,na lile eneo pale mtoni ni eneo ambalo lina miti mingi sana,ikumbukwe pia muda huo ilikua ni saa 6 mchana.kwanza ghafla nikahisi nywele zangu za kichwani zimesisimka na hapo hapo nikaanza kusikia harufu ya manukato,nimeshindwa kuelewa mpaka leo manukato yale yalitoka wapi na kwa nini nywele zangu zilisisimka ghafla?
Asante
Wewe ni demu? Uandishi wako ni wa kike kike. ''akati'' ndiyo nini sasa? Kuna mimea huwa inatoa harufu ya pafyumu. Huko kusisimika nywele ni woga wako tu.Kwa watu wapi sasa akati nimesema nilikua mwenyewe?
Kwa nini mnadharau wanawake,huwezi kunikosoa kistaarabu mpaka uhusishe wanawake?Wewe ni demu? Uandishi wako ni wa kike kike. ''akati'' ndiyo nini sasa? Kuna mimea huwa inatoa harufu ya pafyumu. Huko kusisimika nywele ni woga wako tu.
Kapime mimba labda🙄na hii ya kusikia harufu ya viazi vinakanagwa ukipita sehemu mana nishachoka
hahaha asalimie hata kama hamuoni wa kumpa hiyo salamu?ukiwa unapita kwa watu uwe unasalimia.
Ungejua mimi ni mtu naheshimu wanawake mno mno usingesema hivyo. Kwani huamini kuwa kwenye maisha kuna feminine na masculine way of talking?Kwa nini mnadharau wanawake,huwezi kunikosoa kistaarabu mpaka uhusishe wanawake?
unadhani basi n mimba? hapana sirudi leba kwa sasa, tatizo kuna eneo nikipita kila jioni lazima usikie hio harufuKapime mimba labda🙄
Mshana hajaonekana hapa jukwaani muda, sijui kapatwa na nini huyu mpare,Au tumwite Mshana Jr atusaidie
Haya ndio maelezo sahihi.Harufu nzuri = manukato toka kwenye maua na mimea pori, hewa ya kijijini mara nyingi haipo contaminated hivyo ni rahisi kwa harufu za maua pori kuweza kuwa absorbed na hewa...
Kusisimuka nywele = ni uoga wako mwenyewe kiasi mwili ukaachilia vichocheo vya adrenaline hivyo kupelekea kitendo kiitwacho piloerection...