cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungemwita huyo maimuna...alikuwa kamaliza oga anapaka mafuta.
Ungemfaidi sana ..uoga wako tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungemwita huyo maimuna...alikuwa kamaliza oga anapaka mafuta.
Ungemfaidi sana ..uoga wako tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hii ya kusikia harufu ya viazi vinakanagwa ukipita sehemu mana nishachoka
haijawahi kukuta hii? kuna sehem nikipita kuanzia saa 12 jioni au saa sita mchana lazima nisikie watu wanakaanga chips elewa ni lazima yan hata nipite hii sasita nitaihisi hio harufu na hua inakua visible zaidi jioni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu hapa unawatafuta watu uchokozi, tena kwa makusud kabisa.salamu wanazozielewa zaidi majini ni ya kiislamu.
Assalaam alaykum
na hyo harufu unadhani ni nn? na huko kusisimka nywele je, hapo kuna mwamba alimgusa tu nywele kwa mbaaal,hahaha asalimie hata kama hamuoni wa kumpa hiyo salamu?
labda kafuata mizzi tabora hukoMshana hajaonekana hapa jukwaani muda, sijui kapatwa na nini huyu mpare,
Enzi za utoto tuliambia ukisikia hivo kwa mazingira hayo Kunakua na majini!
Viazi sio kweli ila harufu ya ubwabwa mkavu hiyo nimekutana nayo sana kijijini porini. Tena kuna eneo nilikuwa nalijua palikuwa na makuni mazuri yamekauka, ukifika unaokota tu na kurudi nyumbani.na hii ya kusikia harufu ya viazi vinakanagwa ukipita sehemu mana nishachoka
Nimea inayotoa harufu si mpaka iguswe! Mimi naijua mimea ambayo ukiigusa tu inatoa harufu chafu mavi yakasome. Ukiikuta pahala unajipitia zako taratibu tu.Wewe ni demu? Uandishi wako ni wa kike kike. ''akati'' ndiyo nini sasa? Kuna mimea huwa inatoa harufu ya pafyumu. Huko kusisimika nywele ni woga wako tu.
Ulipishana na Jini Maimuna akiwa anaenda kupiga zake misele kashaoga na kujipulizia unyunyuHabari JF,
Kwa wenye uzoefu wa hili jambo naomba mnisaidie ni ishara ya nini?
Siku tatu nyuma nilienda kijijini kwetu kusalimia,sasa kama mjuavyo ndugu kijijini huwa ni wengi na ukifika huko basi ni lazima ujitahidi uwatembelee wote kuepusha lawama.
Kilichonishangaza ni kwamba kuna siku nikawa nimeenda kumsalimia ndugu yangu flani ambae anaishi upande wa pili wa kijiji, na ili ufike huko lazima uvuke mto flani unaotenganisha.
So baada ya kufika huko tukaongea mawili matatu then me nikaaga kuondoka, wakati narudi navuka ule mto nilikuwa mwenyewe tu na sikuona kiumbe mwingine yeyote pale, na lile eneo pale mtoni ni eneo ambalo lina miti mingi sana, ikumbukwe pia muda huo ilikua ni saa 6 mchana.
Kwanza ghafla nikahisi nywele zangu za kichwani zimesisimka na hapo hapo nikaanza kusikia harufu ya manukato, nimeshindwa kuelewa mpaka leo manukato yale yalitoka wapi na kwa nini nywele zangu zilisisimka ghafla?
Asante
story tu mnazolishwa kwenye vijiwe vya kahawa.na hyo harufu unadhani ni nn? na huko kusisimka nywele je, hapo kuna mwamba alimgusa tu nywele kwa mbaaal,
Asee wanajamba manukatosi hivyo tu,
hata kuna baadhi viumbe porini wakipumua, mathalani kujamba au kujikoboa magamba yao hutoa harufu yenye manukato mwanana sana kwa viumbe wengine kuvutika na kusogea karibu, na huo huwa kama mtego wa kuwanasa kama chakula chao 🐒
mkuu kila ktu ktu kwako huwa unakichukulia serious eh? wakt mwingine unatakiwa ufurahishe tu genge mkuu.story tu mnazolishwa kwenye vijiwe vya kahawa.
Harufu ni manukato yao na ni nzuri kuliko hizi tunazotengeneza sisi zenye spirit.na hyo harufu unadhani ni nn? na huko kusisimka nywele je, hapo kuna mwamba alimgusa tu nywele kwa mbaaal,
Kwahiyo walitaka kumuweka mtu kati jamaasi hivyo tu,
hata kuna baadhi viumbe porini wakipumua, mathalani kujamba au kujikoboa magamba yao hutoa harufu yenye manukato mwanana sana kwa viumbe wengine kuvutika na kusogea karibu, na huo huwa kama mtego wa kuwanasa kama chakula chao 🐒