Harufu ya manukato porini na nywele kusisimka ina maana gani?

nishawahi kumuona eneo kama hilo akichana nywele zake ndefu akiwa uchi.Kuniona akashtuka na kuzama mtoni.Nikapita zangu nywele zimenisisimka.
 
Kwa watu wapi sasa akati nimesema nilikua mwenyewe?
Wewe ni demu? Uandishi wako ni wa kike kike. ''akati'' ndiyo nini sasa? Kuna mimea huwa inatoa harufu ya pafyumu. Huko kusisimika nywele ni woga wako tu.
 
Harufu nzuri = manukato toka kwenye maua na mimea pori, hewa ya kijijini mara nyingi haipo contaminated hivyo ni rahisi kwa harufu za maua pori kuweza kuwa absorbed na hewa...

Kusisimuka nywele = ni uoga wako mwenyewe kiasi mwili ukaachilia vichocheo vya adrenaline hivyo kupelekea kitendo kiitwacho piloerection...
 
Wewe ni demu? Uandishi wako ni wa kike kike. ''akati'' ndiyo nini sasa? Kuna mimea huwa inatoa harufu ya pafyumu. Huko kusisimika nywele ni woga wako tu.
Kwa nini mnadharau wanawake,huwezi kunikosoa kistaarabu mpaka uhusishe wanawake?
 
Ilishawahi nitokea, na ilikuwa porini... Nikiwa na umri mdogo, na nina uhakika ile siku niliona kitu ila sikumbuki niliona nini
 
Kwa nini mnadharau wanawake,huwezi kunikosoa kistaarabu mpaka uhusishe wanawake?
Ungejua mimi ni mtu naheshimu wanawake mno mno usingesema hivyo. Kwani huamini kuwa kwenye maisha kuna feminine na masculine way of talking?
 
Haya ndio maelezo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…