heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
kwa hyo ndo sababu ya mwenez aliyepita kupanda punda siyo?Harufu ni manukato yao na ni nzuri kuliko hizi tunazotengeneza sisi zenye spirit.
Mwili ukitizamwa na jini au kupita walipo na wachawi hujua na ndio maana unasisimka.
Kama huyo jamaa angekuwa kapata punda basi punda angepinda na kurudi kwa sababu yeye anawaona majini.
Ukiwa ni mtu wa kusafiri vijijini nyakati za usiku basi bora kutumia punda kuliko gari.
best kuna eneo ninaishi ukipita jioni lazima uhisi kuna mtu anakanaga viazi mviringo yan seriously naongea ukipita kuanzia saa kumi na mbili au moja jion unaihisi kwa ukaribu kabisa ukipita saa sita mchana unahisi sema kwa kuivutia yan nikipita hapo ni guarantee niihisi hio harufu mwanzo nilidhani majirani kuna kipindi nikahisi n njaa inanisumbua lakini had sada hivi nipite nimeshiba au nna njaa lazima utaipataViazi sio kweli ila harufu ya ubwabwa mkavu hiyo nimekutana nayo sana kijijini porini. Tena kuna eneo nilikuwa nalijua palikuwa na makuni mazuri yamekauka, ukifika unaokota tu na kurudi nyumbani.
Masharti yake nilipewaga kuwa katika hilo eneo pana nyoka na huyo nyoka inawezekana anakuona.
Unachotakiwa kufanya ni kufanya shida yako iliyokupeleka na kuondoka.
Usioneshe hofu yoyote wala hisia kwamba pale pana nyoka.
Walikuwa wanasema ukiona umeshindwa kuhimili kujiamini na kuchukulia kawaida ni bora usepe mapema.
Ile hali ya kuonesha hofu na mapigo ya moyo kwenda fasta na wakati wewe ndio umeenda hilo eneo, nyoka alikuwa ana uwezo wa kuhisi hofu uliyonayo na anakuchukulia kama hujaenda kwa mema.
Ni imani tu lakini.
Kumbe majini ni waislamu?Saa sita mchana ndo mida yetuuu ya kuja duniani, ulikutana na jinni anatwaza anajiandaa kwenda msikitini so hakuwa na time na wewe japo alikuona 6 mpk tisa sio mida mizuri kuwa karibu na maeneo iddle, chooni, misituni,baharini,makaburini utakumbwa na upepo mbaya
Mama Mwana njaa inakusumbua na pua zako ziko very sensitive kwa harufu ya viazi. Utakuwa unapenda sana chips wewe😄😄na hii ya kusikia harufu ya viazi vinakanagwa ukipita sehemu mana nishachoka
yani hii ndio post yangu ya kwanza kua serious sitanii kuna kichaka ukipita saa sita mchana na jioni sa kumi na mbili lazima uipate harufu ya viaz vikikaangwaMama Mwana njaa inakusumbua na pua zako ziko very sensitive kwa harufu ya viazi. Utakuwa unapenda sana chips wewe😄😄
Bhasi usikute hapo maskani ya viumbe usivyoviona na harufu hiyo ni ishara kuwa hayo ni maeneo yao upite kwa adabu😀😀yani hii ndio post yangu ya kwanza kua serious sitanii kuna kichaka ukipita saa sita mchana na jioni sa kumi na mbili lazima uipate harufu ya viaz vikikaangwa
kuna mtu alinambia inasemekana hayo maeneo kuna jini bas nikasema inaonekana anapenda sana kiepeBhasi usikute hapo maskani ya viumbe usivyoviona na harufu hiyo ni ishara kuwa hayo ni maeneo yao upite kwa adabu😀😀
Inawezekana coz nilishawahi kumuona mtu akipandisha jini lake moja linaomba sigara na konyagi. Bhasi yule mdada hanywagi ila likija hilo jini ananunuliwa na kugida kwa pafu moja tu huku akivuta sigara tena sports ndio linaanza kuongea. Hapo ukiwa na shida tu anakuchana live na kukupa solution ya kutoka kwenye hiyo shida na watu walikuwa wanapona kwelikuna mtu alinambia inasemekana hayo maeneo kuna jini bas nikasema inaonekana anapenda sana kiepe
huyo jini ni mlevi sana hahahahahaha dunia ina vituko sasa ndio hayo yanguInawezekana coz nilishawahi kumuona mtu akipandisha jini lake moja linaomba sigara na konyagi. Bhasi yule mdada hanywagi ila likija hilo jini ananunuliwa na kugida kwa pafu moja tu huku akivuta sigara tena sports ndio linaanza kuongea. Hapo ukiwa na shida tu anakuchana live na kukupa solution ya kutoka kwenye hiyo shida na watu walikuwa wanapona kweli