Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea🙏

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..🤔🤔

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao😊mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo😍😍😍si akanihug bhna 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani😌mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake😌😌juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please 😢😢akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue🤣🤣)

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
 
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea[emoji120]

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..[emoji848][emoji848]

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao[emoji4]mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo[emoji7][emoji7][emoji7]si akanihug bhna [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani[emoji18]mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake[emoji18][emoji18]juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please [emoji22][emoji22]akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue[emoji1787][emoji1787])

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi[emoji3166]

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena[emoji30][emoji30][emoji30]

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia [emoji3525]
Dalili za kuliwa mbususu kimasihara
 
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea🙏

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..🤔🤔

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao😊mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo😍😍😍si akanihug bhna 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani😌mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake😌😌juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please 😢😢akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue🤣🤣)

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
Unahitaji maombi, hizi genye ni za kiwango cha SGR!
 
Kumbe uliipenda harufu ya perfume yangu[emoji1]

Nilifanya makusudi kukuaga kwa kukukumbatia

Hujambo shemeji yangu wa kienyeji


Long time no see Chakorii
Shemeji wa kienyeji kwa bahati mbaya huyu mwamba si mtz🙁

Sijambo shemeji yangu wa kienyeji.mambo yanaenda lakini?

Mambo yanabana kiaina wa kienyeji
 
financial services ulisema ule uzi unawasaidia kuepuka kuliwa kimasihara?

Haya mwenzio huku bado kidooogooo tutaona manyoya yakipepea tuu[emoji1018]
Hakuna kuliwa kimasihara hicho ndicho ninachoamini.

Kama unanikula niliamua na kupanga kuwa utanikula ila nilikuwa nakulia muda tu.vingine labda mtu abakwe.
 
Shemeji wa kienyeji kwa bahati mbaya huyu mwamba si mtz[emoji853]

Sijambo shemeji yangu wa kienyeji.mambo yanaenda lakini?

Mambo yanabana kiaina wa kienyeji
Kwani mimi ni Mtz?[emoji1]

Vizuri sana kama hujambo..mambo yanaenda poa/fresh kabisa mkuu

Karibu
 
Kwani mimi ni Mtz?[emoji1]

Vizuri sana kama hujambo..mambo yanaenda poa/fresh kabisa mkuu

Karibu
Shemeji wa kienyeji Hivi kumbe bariadi ni nje ya nchi ee safi👊🏿

Jambo la kumshukuru Mungu wakienyeji kam mambo yako vizuri
 
Back
Top Bottom