Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
Nakupa sifa zake ila jina sikutajii
  • ........in concentrate form that is proven to attract women and appeal to their receptors.
  • Bold .....Cologne scent that is both effective in attracting women, but also smells amazing.
  • Patented blend of human ..........including Androstadienone, Androstenol, Androstenone and Androsterone.
  • Amazing, powerful scent that is youthful and empowering. Get her attention with our specifically designed .............cologne to appeal to her desires.
  • Pharmaceutical grade human ..........cologne that works for over 24 hours after being applied to allow time for the .......... to Attract Women.
Na alijua tu, hutochomoka ndio sababu akataka aku_Hug

Hizi perfume ziko za aina mbili
  • Kuna za wanaume, ilikuwavuta KE
  • Na kuna za wanawake ili kuwavuta ME

 
Kama una namna ya kupata mawasiliano naye fanya chap umfungukie,kama huwezi kupata hayo mawasiliano nakushauri achana na vitu ambavyo vipo juu ya uwezo wako utakufa kabla siku zako.Maana si kwa kihoro hicho
 
Nakupa sifa zake ila jina sikutajii
  • ........in concentrate form that is proven to attract women and appeal to their receptors.
  • Bold .....Cologne scent that is both effective in attracting women, but also smells amazing.
  • Patented blend of human ..........including Androstadienone, Androstenol, Androstenone and Androsterone.
  • Amazing, powerful scent that is youthful and empowering. Get her attention with our specifically designed .............cologne to appeal to her desires.
  • Pharmaceutical grade human ..........cologne that works for over 24 hours after being applied to allow time for the .......... to Attract Women.
Na alijua tu, hutochomoka ndio sababu akataka aku_Hug

Hizi perfume ziko za aina mbili
  • Kuna za wanaume, ilikuwavuta KE
  • Na kuna za wanawake ili kuwavuta ME

Ikikupendeza naomba jina la perfume mkuu..Hii si sawa ujue
 
Kama una namna ya kupata mawasiliano naye fanya chap umfungukie,kama huwezi kupata hayo mawasiliano nakushauri achana na vitu ambavyo vipo juu ya uwezo wako utakufa kabla siku zako.Maana si kwa kihoro hicho
Hichi kihoro si cha nchi hii..yeye haniumizi kichwa ila perfume yake jaman...manina wallah
 
Tatizo lako hilo ni kawaida na kitaalamu linaitwa Phantosmia (phantom smell or an olfactory hallucination).

Ni ile hali ya kuhisi unanusa harufu fulani ambayo kiuhalisia haipo.
 
Tatizo lako hilo ni kawaida na kitaalamu linaitwa Phantosmia (phantom smell or an olfactory hallucination).

Ni ile hali ya kuhisi unanusa harufu fulani ambayo kiuhalisia haipo.
Chalii unaniletea mvurugo ujue..Yani mtu apulizie perfume anukie na harufu niipate uje uniambie sijui vikapanda vikashuka..ni ukorofi
 
Chalii unaniletea mvurugo ujue..Yani mtu apulizie perfume anukie na harufu niipate uje uniambie sijui vikapanda vikashuka..ni ukorofi
Hahaha hakuna namna hiyo harufu inaweza ku stick puani kwa muda wote huo bana. So wewe una olfactory hallucination inayokufanya uhisi kama ile harufu unaihisi bado kumbe sio kweli.
 
Samahani chakorii kuna Perfum maalum za kustimulate wanawake isijekuwa huyo mwamba kajipuliza hiyo ndio unaanza kupata kichaa c mchezoo hiyo kitu mm naona kakufanyia kusudi uchawi wa kizungu.
 
Hahaha hakuna namna hiyo harufu inaweza ku stick puani kwa muda wote huo bana. So wewe una olfactory hallucination inayokufanya uhisi kama ile harufu unaihisi bado kumbe sio kweli.
Unanichanganya ujue chalii..nguo nilizohugiana nae wallahi sizifui.nafikiri kwakuwa bado kunahifadhi ya hiyo harufu kwenye nguo nilitoka siku hizo mbili tofauti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwamba huko alipo ye swafiii ila wewe huku unaweweseka na maharufu puani.dadeq
Tena hata taarifa hana wala hategemei kuwa na Habari yoyote.pumbavu kabisa
 
Samahani chakorii kuna Perfum maalum za kustimulate wanawake isijekuwa huyo mwamba kajipuliza hiyo ndio unaanza kupata kichaa c mchezoo hiyo kitu mm naona kakufanyia kusudi uchawi wa kizungu.
Hebu elezea kwa mapana mkuu huu mvurugo wa hii harufu si sawa kabisa
 
Back
Top Bottom