Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Unanichanganya ujue chalii..nguo nilizohugiana nae wallahi sizifui.nafikiri kwakuwa bado kunahifadhi ya hiyo harufu kwenye nguo nilitoka siku hizo mbili tofauti
Acha basi ku fantasize bana. Mbona machalii tupo hapa achana na huyo foreigner atakufanya uugue moyo tu.
 
Pheromone ni unyunyu mahususi wenye uwezo wa kukaa zaidi ya dakika 20 puani kwa yeyote atakayekaribiana na aliyepulizia.

Sasa yeye akaamua kabisa kukumbatia. Maana yake itabaki nguoni kwako muda mrefu.

Lakini, kinachokutatiza ni kuwa ulishajenga hisia za upendo kwa mhusika. Kuja kukumbatia na Pheromone yake, ndo kabisa harufu yake ikajengeka ndani ya ubongo wako kwenye Olfactory Cortex.
 
Mpigie simu umwambie ukweli kwamba unyunyu wake umetanda kwenye tundu za pua na hautaki kuisha
 
Pheromone ni unyunyu mahususi wenye uwezo wa kukaa zaidi ya dakika 20 puani kwa yeyote atakayekaribiana na aliyepulizia.

Sasa yeye akaamua kabisa kukumbatia. Maana yake itabaki nguoni kwako muda mrefu.

Lakini, kinachokutatiza ni kuwa ulishajenga hisia za upendo kwa mhusika. Kuja kukumbatia na Pheromone yake, ndo kabisa harufu yake ikajengeka ndani ya ubongo wako kwenye Olfactory Cortex.
Mchizi naona aliamua makusudi kuniachia hii harufu kudadeki zake.

Nguo zangu sizifui mpka nitakapoichoka hiyo harufu sitakigi ujinga
 
🤣🤣
255769389880_status_8507531b5273440f97f6f8619d8bd051.jpg
 
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea[emoji120]

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..[emoji848][emoji848]

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao[emoji4]mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo[emoji7][emoji7][emoji7]si akanihug bhna [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani[emoji18]mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake[emoji18][emoji18]juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please [emoji22][emoji22]akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue[emoji1787][emoji1787])

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi[emoji3166]

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena[emoji30][emoji30][emoji30]

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia [emoji3525]

I feel you rafiki angu
 
Back
Top Bottom