Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mcheki jamaa ana kazi nzuri.Kweli? Ana bei za kizalendo lakini?.
Wanadai Dawasco inawanukisha vikwapa no maji siku 3😅 ila tiba ninayoMbona unyunyuuu
It happens to everyone dear, ila kuna wanaume huwa wananukia halafu wapo romantic hadi unachanganyikiwa🙌, mbaya zaidi wala hawatongozagi yaani, unajikuta tu unampenda afu unagugumia mwenyewe🤣🤣🤣si ndo hapo Hata mimi nashangaa jamani
Ndugu yangu unamjua mbona kama sielewi sielewi (in Joti’s voice)It happens to everyone dear, ila kuna wanaume huwa wananukia halafu wapo romantic hadi unachanganyikiwa🙌, mbaya zaidi wala hawatongozagi yaani, unajikuta tu unampenda afu unagugumia mwenyewe
Simjui sema i ha ve been there kwa hiyo naelewa sana unachokizungumzaNdugu yangu unamjua mbona kama sielewi sielewi (in Joti’s voice)
Halafu mkimyaa🥺🥺Ohoo
Pole, with time utasahau or else pambana na hali yako😁😁😁Naam naam..angalau nimepata mtu ambae alishawahi kuwa huko kidogo inatia moyo😁
This perfume thing jaman
Pole Chakorii, ingekua ni rahisi kuelezea harufu, basi ungeielezea hiyo harufu hapa halafu watu wangekuambia jina la oerfume, ila sasa its hard, sijui hata tunakusaidiaje, the only way ni kumuuliza huyo muhusikaHonestly natamani kuifahamu hiyo perfume aiseh 😢
Yaani harufu halafu ndo aje na akuhug kabisa, unakua chizi moja kwa moja😁😁Unaweza ukawa chizi apo ukiisikia tu harufu kamoyo kanafanya paaa
Yaani harufu halafu ndo aje na akuhug kabisa, unakua chizi moja kwa moja[emoji16][emoji16]