Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
That will be my priority. Ninadhani niende na gym si vinaenda Pamoja Mkuu?Jitahidi my dear Blessed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That will be my priority. Ninadhani niende na gym si vinaenda Pamoja Mkuu?Jitahidi my dear Blessed
Duuh! we jamaa kwa codeAnapaelewa panapopatikana huduma
Yaani uteseke mpaka arudi Tanzania kwani huna mawasiliano nae ya karibu mamySiwezi kumpata..labda kama atarudi tz kwa mara nyingine🤔
Ndio hivyoUkiona umekaziwa Achana na mikazo kafanye mambo mengine.
asanthe Mkuu. Mapendo Diama. Ngoja niingie kazini.Gym,afya njema,familia yenye furaha,Amani ya moyo,pesa,kunukia utatisha mkuu.
Pole mwaya, akirudi hakikisha unajua jina lake na unapata namba yake, ya nini kufa na tai shingoniHabari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea🙏
Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..🤔🤔
Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao😊mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo😍😍😍si akanihug bhna 🙆♀️🙆♀️🙆♀️Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani😌mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).
Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake😌😌juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please 😢😢akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue🤣🤣)
Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐
Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩
Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
Mtafute Extrovert ana unyunyu mkali sana atakufanyia maajabuAisee Kumbe unyunyu unaleta maajabu hivi nitaongeza Bajeti ya unyunyu kwenye mwaka ujao wa fedha.
Usisite kunitafuta nikupatie unyunyu mkaliAisee Kumbe unyunyu unaleta maajabu hivi nitaongeza Bajeti ya unyunyu kwenye mwaka ujao wa fedha.
Kweli? Ana bei za kizalendo lakini?.Mtafute Extrovert ana unyunyu mkali sana atakufanyia maajabu
😁😁😁😁😁😂😂Acha umalaya fullstop