Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

Aarrrghhh Unakera Baby , sex inaamshwa kwa Kuona...Kusikia...Kunusa ..... ( siku hizi vijana hadi wanaamshwa kwa kulamba ).

Hujawah sikia Mikelele yawatu wanatiana, ukajikuta nawee unataka Kutiana???..
Hujawah ona watu wanatiana ,ukajikuta nawee wataka ??

Vivovivo kuna harufu ukiipataa inaenda kuamsha minyege na unanyegeka kweli.....





Siku nyingineeee, usibaneeee, Mpe mbususu ajashuke.



Sio kutunza minyegeee mpaka mwili mzima uwe unanukia nyegee kiasi kwamba Ukipishana na Mwanaume ,anajua Umejaa nyege.
🤣🤣🤣🤣naona ile button yako ya uchizi iko on leo..shindwa!!!!..

Yes ninakera snaa babe
 
Itakuwa ulimuelewa mwamba🤨, na hapo hali itakuwa hivyo mpka week 4 ziishe au hata zaid inategemea tatzo limeathir vp mtu huska.😎​
 
Itakuwa ulimuelewa mwamba🤨, na hapo hali itakuwa hivyo mpka week 4 ziishe au hata zaid inategemea tatzo limeathir vp mtu huska.😎​
Hili tatizo limeniathiri kwakweli haiwezekani hataa 😁
 
Kama harufu imebaki kwenye nguo unaeza tamani usiifue uwe unainusa tu
Woi hata sitoifua huwezi amini nitaiweka na vigauni vingine viambukizane harufu kama mimi nilivyoambukizwa.sitaki ujinga mimi
 
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea🙏

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..🤔🤔

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao😊mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo😍😍😍si akanihug bhna 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani😌mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake😌😌juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please 😢😢akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue🤣🤣)

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
Nimecheka sana......
unajua kuna pafyum flani hasa za kimarekani nikijipulizia mm nikikuhaga lazima upate genye......
Type zingine ndio hizo zinakukoroga akili.....
siku hizi hatutumii nguvu sana unadaka pafyum ya dola 400 then twende kazi....
 
Nimecheka sana......
unajua kuna pafyum flani hasa za kimarekani nikijipulizia mm nikikuhaga lazima upate genye......
Type zingine ndio hizo zinakukoroga akili.....
siku hizi hatutumii nguvu sana unadaka pafyum ya dola 400 then twende kazi....
Mkuu acha kuwapa mbinu mpya basi..
Sio imenikoroga tu mpenzi mwandishi...Yani imenivuruga kongosho,ini,firigisi,utumbo,mawashiwashiYani ni mtifuano pro max
 
[emoji23][emoji23][emoji23] eeehh baby ...... ivi unajua Mara ngapi nimejimwagia just kwa kukuwaza tuuu.



Kujimwagia Maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walah tena babe wewe ni mchizi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwahiyo unajimwagiaga maji
 
Habari za jumapili watu wangu nguvu..natumaini mlioenda nyumba za Ibada leo mmetuombea🙏

Jamani sijui ni hii pua yangu inafanya makusudi kuhifadhi hii harufu. ..🤔🤔

Mpenzi msomaji siku kadhaa zilizopita nilikuwa kwenye party fulani hivi ya watu tunaofahamiana nao😊mida ya kuondoka bhana mkaka mmoja hivi (ninafahamiana nae)akaniambia Chakorii huwezi kuondoka kabla sijakuhug ohooo😍😍😍si akanihug bhna 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Harufu aliyoniachia ilinikosesha usingizi jamani😌mwamba alikuwa ananukia vizuri mamaaaa(aliustua mtima wangu wallahi).

Nikajidai mjeuri kuipotezea harufu yake😌😌juzi tena bwana kumbe anasafiri(karoho kakaniuma kwa mbali kusikia anasafiri)akanihug tena mara Ohoo take good care of your self Chakorii please 😢😢akaniachia tena harufu ya perfume yake (nyie huyu mjinga ataniuwa kwa hii harufu mjue🤣🤣)

Wapenzi wasomaji tangu juzi mpka sasa perfume bado inazunguka puani hakyamama tena siwafichi🧐

Taarifa ya kuhuzunisha ni kwamba siijui jina na mwamba hayupo tena😩😩😩

Bwana asimame vinginevyo hii harufu ya perfume itaenda kuishi katikati ya moyo wangu wallahi nawaambia ☹️
🤗🤗🤗
 
Back
Top Bottom