Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

Kuna mchezo wa watu wanajiita Jumia, wao wanasema wanafanyankazi ya matangazo online. Wanakupa task ya kuweka like kwemye video za youtube then wanakulipa buku (1k). Unatakiwa kufanya task zote, na wanalipa in lumpsum of 10 tasks.

Sasa trend nayoiona kila baada ya task mbili kuna task moja ya deposit pesa alafu wanakulipa faida ya 30% kila baada ya dakika kumi.

Naona kuna watu wanachangamkia fursa ya kudeposit sasa sijajua ni kweli wanadeposit au ni wale wale wanaedit miamala.

Maono yangu jinsi watu watakavyoliwa.
Kwanza wanawesa kuwa wanamminya mmoja mmoja. Mfano wakiwaminya watatu ambao wameshadeposit kwenye group la watu 3000 siyo rahisi kuguundua.

Pili huenda wanasubiria timming ya kuzima group siku maokoto yakiwa mengi.

Note: Jamaa hawana ofisi au address ya kueleweka
Kaa mbali na matapeli mkuu. Utakuja kupigwa vibaya sana na hawo weizi wa mtandaoni. Epukakuweka ovyo taarifa zako binafsi mtandaoni.
 
Mimi walinitafuta wakanitumia 15,000.

Wakashusha commission kutoka 1000 hadi 500 kisa sikufanya hiyo task yao ya prepaid (Ya kutuma hela).

Nikawaambia basi wanikopeshe 50,000 ili niiweke kwao, na nikipata faida nitawarudishia hela yao, mpaka leo hawajanijibu.

Mi ninavyoona ukikutana na hawa matapeli wa hela mtandaoni na wakitaka uweke hela upate faida, we waambie wakukopeshe ili uiweke. Hapo utaona watakavyokaa mbali na wewe.

Utapeli upo, ni kuwa makini na kuacha tamaa ya kupata pesa za haraka haraka.
 
Hilo group nilikuwepo
Kuna mtu alinitext na namba ya Indonesia kaniambia ni part time job akanitumia link ya youtube video nilike na nisubscribe nimtumie screenshoot nikafanya akauliza namba ya mpesa, tigo au Airtel money nikafanya nikaona amenitumia 5000 akasema kuna group akanitumia code nimtumie mwingine wanamwitwa Receptionist akaniunga na group kazi yako ni kulike na nisubscribe buku kwa hiyo nikafanya siku 1 zikifika 10 wakatuma hela nikatumiwa 10,000 nikiwa na 15000
Sasa kama ulivyosema hutakiwi kuruka task na mojawapo ya hizo task ni kudeposit na ukiruka task kazi ya kulike na subscribe inapungua 1000 to 500
Nilifanya utafiti wangu nikaona ni utapeli nikaleft na hiyo 15000...
nikamblock na huyo Receptionist..
 
Hilo group nilikuwepo
Kuna mtu alinitext na namba ya Indonesia kaniambia ni part time job akanitumia link ya youtube video nilike na nisubscribe nimtumie screenshoot nikafanya akauliza namba ya mpesa, tigo au Airtel money nikafanya nikaona amenitumia 5000 akasema kuna group akanitumia code nimtumie mwingine wanamwitwa Receptionist akaniunga na group kazi yako ni kulike na nisubscribe buku kwa hiyo nikafanya siku 1 zikifika 10 wanatuma hela nikatumiwa 10,000 nikiwa na 15000
Sasa kama ulivyosema hutakiwi kuruka task ni mojawapo ya hizo task ni kudeposit na ukiruka task kazi ya kulikena subscribe inapungua to 500
Nilifanya utafiti wangu nikaona ni utapeli nikaleft na hiyo 15000...
nikamblock na huyo Receptionist..
Upo sahihi, wanajitapa kwamba ofisi zao zipo nyakato
 
Kuna mchezo wa watu wanajiita Jumia, wao wanasema wanafanyankazi ya matangazo online. Wanakupa task ya kuweka like kwemye video za youtube then wanakulipa buku (1k). Unatakiwa kufanya task zote, na wanalipa in lumpsum of 10 tasks.

Sasa trend nayoiona kila baada ya task mbili kuna task moja ya deposit pesa alafu wanakulipa faida ya 30% kila baada ya dakika kumi.

Naona kuna watu wanachangamkia fursa ya kudeposit sasa sijajua ni kweli wanadeposit au ni wale wale wanaedit miamala.

Maono yangu jinsi watu watakavyoliwa.
Kwanza wanawesa kuwa wanamminya mmoja mmoja. Mfano wakiwaminya watatu ambao wameshadeposit kwenye group la watu 3000 siyo rahisi kuguundua.

Pili huenda wanasubiria timming ya kuzima group siku maokoto yakiwa mengi.

Note: Jamaa hawana ofisi au address ya kueleweka
Kama ndiyo wameanza shiriki upige hela fasta upotee. Upatu wowote huwa unakuwa dili mwanzoni
 
Hilo group nilikuwepo
Kuna mtu alinitext na namba ya Indonesia kaniambia ni part time job akanitumia link ya youtube video nilike na nisubscribe nimtumie screenshoot nikafanya akauliza namba ya mpesa, tigo au Airtel money nikafanya nikaona amenitumia 5000 akasema kuna group akanitumia code nimtumie mwingine wanamwitwa Receptionist akaniunga na group kazi yako ni kulike na nisubscribe buku kwa hiyo nikafanya siku 1 zikifika 10 wanatuma hela nikatumiwa 10,000 nikiwa na 15000
Sasa kama ulivyosema hutakiwi kuruka task ni mojawapo ya hizo task ni kudeposit na ukiruka task kazi ya kulikena subscribe inapungua to 500
Nilifanya utafiti wangu nikaona ni utapeli nikaleft na hiyo 15000...
nikamblock na huyo Receptionist..
Hahahah wewe bonge la mjanja
 
Hilo group nilikuwepo
Kuna mtu alinitext na namba ya Indonesia kaniambia ni part time job akanitumia link ya youtube video nilike na nisubscribe nimtumie screenshoot nikafanya akauliza namba ya mpesa, tigo au Airtel money nikafanya nikaona amenitumia 5000 akasema kuna group akanitumia code nimtumie mwingine wanamwitwa Receptionist akaniunga na group kazi yako ni kulike na nisubscribe buku kwa hiyo nikafanya siku 1 zikifika 10 wanatuma hela nikatumiwa 10,000 nikiwa na 15000
Sasa kama ulivyosema hutakiwi kuruka task ni mojawapo ya hizo task ni kudeposit na ukiruka task kazi ya kulikena subscribe inapungua to 500
Nilifanya utafiti wangu nikaona ni utapeli nikaleft na hiyo 15000...
nikamblock na huyo Receptionist..
Alinitumia text,na mm nikampa yangu..nikaona hajajibu yangu na mm sikujibu yke mpaka leo
 

Attachments

  • Screenshot_20240102-184059.png
    Screenshot_20240102-184059.png
    154.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20240102-184045.png
    Screenshot_20240102-184045.png
    127.1 KB · Views: 14
Juzi walinitumia sms zao, nilivyosoma hapo kipengele cha malipo kuhitaji taarifa binafsi. Nikawapuuzia.


IMG_6014.jpg

IMG_6015.jpg
 
Hata sielewi
Nieleweshe mkuu
Wala hamna cha maana , zaidi wanakuvuta tu sio muda unaangua kilio..
Wao wanasema wanashirikiana na wafanya biashara wakubwa na taasisi mbalimbali ulimwengu ili kukuza maudhui yao hivyo wao wanakushirikisha video mbali mbali wewe uzi like na ku subscribe kila video wanayo kupa link yake kupitia mtandao wa telegram, ambayo wanasema kila link ya video wanayokutumia ni jukumu au kwa lugha yao task, sasa kila task inabidi ufanyie kazi , task moja wapo ni ya kutuma kiasi cha fedha kiwango cha kuanzia ni laki , huo laki watalipa namba ya kutuma, ilishatuma watalipa link ya mtu wa kukuongoza, huyo mtu atakupa link ya mtandao wa jumia huko utajisajili na kununua vifaa kama vile jagi, redio , tv ama chochote kwa thamani ya hip laki na kuendelea kisha baada ya kununua hio bidhaa atakupa code namba unarudi kwa mtu wako wa awali na kufanya mchakato wa kurudisha hela yako na asilimia 30 ya faida.
Kule kwenye mchakato wa kununua bidhaa ukikosea hata kidogo hela yako imeenda.
 
Wala hamna cha maana , zaidi wanakuvuta tu sio muda unaangua kilio..
Wao wanasema wanashirikiana na wafanya biashara wakubwa na taasisi mbalimbali ulimwengu ili kukuza maudhui yao hivyo wao wanakushirikisha video mbali mbali wewe uzi like na ku subscribe kila video wanayo kupa link yake kupitia mtandao wa telegram, ambayo wanasema kila link ya video wanayokutumia ni jukumu au kwa lugha yao task, sasa kila task inabidi ufanyie kazi , task moja wapo ni ya kutuma kiasi cha fedha kiwango cha kuanzia ni laki , huo laki watalipa namba ya kutuma, ilishatuma watalipa link ya mtu wa kukuongoza, huyo mtu atakupa link ya mtandao wa jumia huko utajisajili na kununua vifaa kama vile jagi, redio , tv ama chochote kwa thamani ya hip laki na kuendelea kisha baada ya kununua hio bidhaa atakupa code namba unarudi kwa mtu wako wa awali na kufanya mchakato wa kurudisha hela yako na asilimia 30 ya faida.
Kule kwenye mchakato wa kununua bidhaa ukikosea hata kidogo hela yako imeenda.
Makubwa
Asante
Acha tuwaachie wengine
 
Nimesha kula 25 juzi ila nikaona hapa kilio hakiko mbali nikatemana nao.
Hutakiwi kuruka task hata moja haswa hio ya kutuma muamala.
Kuna watu wanatuma mpaka milion 5
Ila kuanzi 50,000, wao wanakurejeshea 65,000 , muamala unaofuata ni kuanzia laki mpaka milioni 70.
Naomba Alufu mbili wa kwetu[emoji2]
 
Back
Top Bottom