Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

Task 6
commercial order
Group projects (2-4 orders). The trader confirms that the deposit has been paid.
Notify trader. According to market demand, different PIs are now recruited to help promote various brands, and the number of locations is limited.
The merchant has paid a deposit, which is refunded immediately after ten minutes, payment in advance is required! Safe and reliable!

Prepayment TZS 30,000 Cash back TZS39,000 怐Newcomer's Benefit怑30ļ¼…!
Prepay TZS70,000 Cash back TZS91,000 怐Group welfare怑30ļ¼…!
Prepay TZS200,000 Cash back TZS260,000 怐Group welfare怑30%
Prepaid TZS500,000 Cash back TZS650,000 怐Group welfare怑30%
Prepaid TZS1,000,000 Cash back TZS1,400,000 怐Group welfare怑40%
Prepaid TZS3,000,000 Cash back TZS4,200,000 怐Group welfare怑40%
Prepaid TZS5,000,000 Cash back TZS7,000,000 怐Group welfare怑40%
Prepaid TZS10,000,000 Cash back TZS15,000,000 怐Group welfare怑50%
Prepaid TZS30,000,000 Cash back TZS45,000,000 怐Group Benefit怑50%
Prepaid TZS50,000,000 Cash back TZS75,000,000 怐Group welfare怑50%


For workers who wish to join, please contact the receptionist, thank you.

For traders who have paid a deposit, a professional master will complete the job one by one. 5-10 minutes later, the salary will be returned. Tradesmen who have paid a deposit will have their wages returned immediately after approximately 10 minutes.

Fast professional work will take you through all the processes, some of which can be completed in 5-10 minutes.
Next task is at 11:10am

Each prepaid task corresponds to a different merchant, so it is necessary to contact the receptionist to provide a card number.

The Company prohibits the use of USSD payments to merchant accounts
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Link unachukuaje..nielekeze niwachukulie
 
Halafu watakuja hapa kulalamikia Serikali wakati ni jambo binafsi la kutumia commonsense.Wakipigwa huko wanajivua uwajibikaji.Mjini shule.
 
Huu ni utapeli wa mchana kweupe kabisa huwezi kupata faida ya 30%-40% kwa ku-order vitu mtandaoni ambavyo hununui.! Swali la kujiuliza hio faida wanayokulipa wao wanapata wapi?

Huu ni mtego, tupunguze tamaa za pesa za ku-download.! Vilio vingi vinakuja
 
Huu ni utapeli wa mchana kweupe kabisa huwezi kupata faida ya 30%-40% kwa ku-order vitu mtandaoni ambavyo hununui.! Swali la kujiuliza hio faida wanayokulipa wao wanapata wapi?

Huu ni mtego, tupunguze tamaa za pesa za ku-download.! Vilio vingi vinakuja
Watalia soon..alafu nmegundua lwenye hilo group watuma pesa almost ni wale wale, huenda ni chambo, alafu wanajisifia kununua vitu vya kijinga mara lunch mara kofia , mara saa ujinga mtupu.
 
Nililambwa Dola 100 huku najiona.

Mimi Hawa jamaa huwa nawapiga sana ila hiyo siku waliniweza kweli kweli nahisi walishanishtukia mchezo wangu.....nilivyowatumia hyo Hela wakaniambia niongeze Tena Dola 180 Ili niweze kupata milioni 1, hapa taa nyekundu ikawaka coz hao jamaa wakishaanza kukuambia ongeza Hela ujue hapo muda sio mrefu unalambwa. Nikaamua kupotezea tu

Mimi mwanzoni walikua wananitumia 2000 Kila task so Kwa siku nilikua napata elfu kumi, ilivoenda mbele Zaid nikawalamba laki na nusu 150000. Wakanipa task ya Dola 100 nkajisema hapa Bado muda wa kutapeliwa ngoja nitume tu, lahaulaaa mapicha picha yakaanza nikajiambia tu Leo tapeli ametapeliwa. Wife naye akawa ananizidisha machungu Kila nikikaa nae anacheka tu...kupooza machungu nikajiendea zangu bar kupiga Hanson choice

Saiv Kuna namba nyingne imejiingiza kingi sasa huyu atapooza machungu yangu yote
Screenshot_20230810-113306.jpg
 
Mimi wamenipiga 70,000/= nilituma wakasema order za 70,000/= zimeisha niongeze 130 ninunue order za 200 nikajua parapanda imeshalia
 
Mimi wamenipiga 70,000/= nilituma wakasema order za 70,000/= zimeisha niongeze 130 ninunue order za 200 nikajua parapanda imeshalia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ila wabongoo tamaa zitatuaa wapo watu wengi wanaliwaa sanaa ndo maana majamaa hawaachi huo mchezoo
 
Kuna mchezo wa watu wanajiita Jumia, wao wanasema wanafanyankazi ya matangazo online. Wanakupa task ya kuweka like kwemye video za youtube then wanakulipa buku (1k). Unatakiwa kufanya task zote, na wanalipa in lumpsum of 10 tasks.

Sasa trend nayoiona kila baada ya task mbili kuna task moja ya deposit pesa alafu wanakulipa faida ya 30% kila baada ya dakika kumi.

Naona kuna watu wanachangamkia fursa ya kudeposit sasa sijajua ni kweli wanadeposit au ni wale wale wanaedit miamala.

Maono yangu jinsi watu watakavyoliwa.
Kwanza wanawesa kuwa wanamminya mmoja mmoja. Mfano wakiwaminya watatu ambao wameshadeposit kwenye group la watu 3000 siyo rahisi kuguundua.

Pili huenda wanasubiria timming ya kuzima group siku maokoto yakiwa mengi.

Note: Jamaa hawana ofisi au address ya kueleweka
Nimesha kula 25 juzi ila nikaona hapa kilio hakiko mbali nikatemana nao.
Hutakiwi kuruka task hata moja haswa hio ya kutuma muamala.
Kuna watu wanatuma mpaka milion 5
Ila kuanzi 50,000, wao wanakurejeshea 65,000 , muamala unaofuata ni kuanzia laki mpaka milioni 70.
Kuna nyimbo moja ya ben pol anaimba " ooohh! BAdo kidogo!! Ooh BAdo kidogoo!!!!" šŸŽ¶

Ujumbe wangu KWa leo.... "Mbuzi ni mbuzi tu, unaweza mchapa viboko na kumfukuza asile majani yanasumu.. ataondoka.. lakini badae atarudi tena palepale na kula tena yale majani yenye sumu huku akijiona mjaanja"
 
Mbuzi wako wengi sana wanafukuzwa kutoka kwenye majani lakini bado wanakuja tu.
 
Back
Top Bottom