Harusi ya Haji Manara

Harusi ya Haji Manara

Madai yake anamrusha roho mtalaka mdogo.
Mswahili mno.


Hivi odo sisi kanisani hapatuhusu maana tunapiga umbengenya tu hapa.
Mwenzaangu leo nimeamka mapema nisali ya kwanza.
Nkasema nilale tena kidogo, wooooih saaa moja hii hapa.

Ya 2 uvivuuu.
Acha tu leo nipige umbea wa manara.
Mwanaume anaongeeeeeaaa yuleeee
 
Kwahyo unataka kusema wanawake over Age mid thirty wanapenda mchezo (high sexual libido) kuliko

Hivi vitoto vya late 20s tunavyokimbizana navyo?




Kama ni hvyo bora nioe wa miaka 30 na kuendelea
Kuliiiiiiiko unavyoweza kufikiri.
Huko 20's kuna hofu kibao
Mimba, kuachwa, kuwa cheated on, kutokufanya vizur, maisha, matamanio mengi ya maendeleo, kuhofia maumbile yake, kuwaza challenges za wengine.

Hivi vitu havipo baada ya 35+
 
Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Aiseee "KISUGAR" ni hatari sana!! Mbona amepata katika umri mdogo sana? Halafu mwili wake mbona sio minyamanyama?
 
Mwanaume anayekaa kwenye mkeka na kula mirungi huku anasikiliza taarabu muogope.

Huwa waongo waongo mashankupe.
Nimecheka sana. Umenikumbusha mtu mmoja hivi
 
Back
Top Bottom