habari wadau..
hivi wasomi wa kuajiriwa taasisi za uma na private sector.. kipato chao hakiruhusu kufanya harusi za ukweli.. kama ambao hawajaenda shule kina joti wanavyozifanya...
je ni vipato vidogo au network zao..
maana harusi za wafanyabiashara na wasanii zinakuwa za ukweli.
usawa wa magu huu.. nikiicheki harusi za hawa watu mpaka wananitisha
hivi wasomi wa kuajiriwa taasisi za uma na private sector.. kipato chao hakiruhusu kufanya harusi za ukweli.. kama ambao hawajaenda shule kina joti wanavyozifanya...
je ni vipato vidogo au network zao..
maana harusi za wafanyabiashara na wasanii zinakuwa za ukweli.
usawa wa magu huu.. nikiicheki harusi za hawa watu mpaka wananitisha