UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Sawa Mpareyeah atatoa bia besa na home atahama nikitaka
huyu mtoto atamwona dady yake j2 jioni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mpareyeah atatoa bia besa na home atahama nikitaka
huyu mtoto atamwona dady yake j2 jioni sana
tehetehe................nani mpare mpunga ni wamakonde bhaaSawa Mpare
Umesahau nini ile ID yako nyingine FMtehetehe................nani mpare mpunga ni wamakonde bhaa
jina unaloliona kwenye id ni jina langu halisiAnza kutumia jina lako halisi kama mimi lukesam
Alafu mama wa hiyo mtoto akipita hapa itatokea vita ya tatu ya dunia..
Ndio maana baada ya kuona vitu kwa meza umeshawishika kabisa..yani umekuwa kama ile mboga ya wahehe imeona chatu..hahahaha ndo habareee mkuu
Sawasawa babumapundajina unaloliona kwenye id ni jina langu halisi
kivuruge sana wewebila nguo mwanzo mwisho ....tehetehe
anapenda kuambatana nami,,,,,bado nasubiro pm yako au nianze mimi???hihihih ijumaa ya leo burdani
okkkk ngoja ni ku pm asee halafu huyu kijana kisa cha kumpeleka bar ni nini
weekend imeanza,si unajua tenaNaona umeamua kujilipua,ushakula vyombo nini mkuu?[emoji12][emoji12][emoji12]
mkuu haka kamchezo hakataki hasira,kaonyesha njia nimeonyesha nia.Dah mtu kabeba jiko bila hata kiingilio ,sijui na mimi nijilipue tu
hahaha mkuu mama wa hii mutoto haina shidaAnza kutumia jina lako halisi kama mimi lukesam
Alafu mama wa hiyo mtoto akipita hapa itatokea vita ya tatu ya dunia..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]na mie naweza vita hasa za kugombea nyama tehetehe
huku kunaitwa kuopoa kwa mwendo kasi[emoji38][emoji38] watu wanatoa laki kiingilio ,jamaa hapa anaopoa kwa glass ya bia tena emoj tu ,aisee haya bana
tupo wangapimwanya umejaa teleeeeeee nitakuwa daktare wako mkuu kama huo ni ugonjwa kwako 😳😳😳😳😳
dunia ya sasa hakuna kuuma vidole papo kwa papohuku kunaitwa kuopoa kwa mwendo kasi
Hili wazo la Masanja kuweka kiingilio kwenye harusi yake nimelipenda, Hakika huyu Jamaa ni anawaza Pesa kwa kila kitu... Na habari zilizopo tayali watu 1000 wameshalipia viingilio kwa ajiri ya harusi hiyo... Na leo ilikuwa send off ya mke wake mtarajiwa..all the best Masanja na mchumba wako.