Watu waache kufanya mambo yao, kisa tarehe ishirini sita kuna maandamano hapa ndio utajua huyu binti hajui maana ya demokrasia kwani kwenye demokrasia kila mtu yupo huru kufanya maamuzi, yani sawa na kusema demokrasia NI KITENDO CHA KUKUBALI KUTOKUKUBALIANA kwa hiyo anachokiona yeye sawa , wenzake wanaona tofauti inambidi haeshimu mitazamo ya wenzake hata kama inamkera ndio demokrasia anayoipigia kelele siku zote ipo hivyo.Da Mange kasema mnatutoa kwenye 26/4...hahaha
Hapendag show off hiyo ni nini apo kwenye kideo cha azabakhresa???Hapendagi SHOW OFF
Ndio mwenyewe anavyodai hapendi SHOW OFF na nasikia ana bidhaa zake ataziingiza sokoni sasa sijui ataziingiza kimya kimya bila SHOW OFF.hapendag show off hyo ni nini apo kwwnye kideo cha azabakhresa???
Kuna Clouds na EATV hili swala watalivalia njuga muda si mrefu mange ataanza kuyaweka mafaili yake naona kishamtibua ,huyu dada mda si mrefu anakuwa mwehu.Kiba kapoteza mvuto.. timu yake ya mtandaoni imesambaratika mange bize na maandamano yake ya kufikirika wema karudi kwa mondi kidoti kampotezea wamebaki haters wachache wa Diamond
Deal la pesa hilo mzeeSi walisemaga huyu ni mtu asiependa kujionesha? Ngoja nisuburie kama kweli harusi yake itakua televised
Kwenye hela umetudananya, hao Simba na Yanga msimu mzima wanalipwa, milioni 100. Hiyo sherehe kama imezidi sana mil 20.Azam Media weingia Makubaliano na Management ya Alikiba Kurusha Live Tukio la Harusi yake Litakalo anzia Mombasa Kenya Mpaka Dar es salaam Tanzania. Mkataba huo ni wenye Thamani ya Milioni 234,330,500/= Unamfanya Alikiba kua Msanii wa Kwanza Kufanya Tukio la Kipekee kama Hilo. Ndoa hiyo inatarajiwa kufungwa hivi Karibuni wiki hii. Hongera kwa Management nzima ya Alikiba na Wasaidizi wake.
Umenona eeeh...wot Joti pia alirusha live tv hyo hyoKwan harusi ya joti ilionyeshwa tv gan?
Kwenye hela umetudananya, hao Simba na Yanga msimu mzima wanalipwa, milioni 100. Hiyo sherehe kama imezidi sana mil 20.
Acha wivu brother... au wewe timu Mondi?Mbona hii harusi ina promo zisizo na kichwa wala miguu? Hivi huyo ndio wa kwanza kuoa?