Harusi ya Mwanamuziki Ali Kiba kurushwa live na Azam Tv pekee

Wakenya hawana shida wabongo sisi tuna shidaaa
 
Wakenya hawana shida wabongo sisi tuna shidaaa
hata utulivu wa ukumbini,nimependa ustaarabu wa wakenya. wanamsikiliza sana MC.

hali ingekuwa tofauti sana hapa kwetu, kila mwenye kismatifoni chake angekuwa anajipitisha mbele ya bibi harusi kupiga naye selfie.

sipati picha madada madanga ya mjini yangejipitishaje mbele ya camera za azamtv.
nimekomenti kishilawadu leo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaa!sio ushiwaladuu ndo ukweli huooo!!

Kwanza hvyo vinguo wadada wa bongo wanavaa hovyoo "vingwinda"tu vya kuonyesha mapaja yaoo na nyuchi zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…