Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Naona umeandika kujifurahisha nafsi yako. Nani aliwahi kuthibitisha kiasi cha pesa ambacho alikuwa anamiliki Kambona?

Kama Uingereza ilikuwa inamsaidia Kambona ni kwa nn wakati Mwalimu Nyerere anapinduliwa aliomba msaada kutika Uingereza? Na Uingereza ilituma Kikosi kwenda kuzima vuguvugu la Mapinduzi? Na Uingereza hiyo hiyo ilifanya Msako kwenye Mapori na kuwakamata Waasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…