Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Kambona aliingizwa mkenge tu na kundi lililomchukia nyerere

Hata km ni wewe ungekuwa rais kipindi nchi inapata uhuru halafu watokee watu wanayoyumbisha ujenzi wa msingi wa taifa sidhani km ungewachekea



God first


Ujenzi wa msingi wa Taifa upi ?? huu wa kuchukua mashamba na majumba ya watu bila fidia yoyote?? Hivi wewe ungalikubali ??
 
Maneno yako yana ukweli ndani yake, Hata mimi nilijiuliza askari hawa walipataje kulinda hii harusi wakati Kambona wala mkewe hawakuwa wa familia ya kifalme ya Uingereza. Kwanza kupata kibali cha kufunga ndoa St Paul’s si jambo la kitoto.

Hata alivyokimbilia Uingereza, alikuwa na matumaini ya kuendeleza mapambano ya kumng’oa Nyerere akiwa nje ya nchi.

Bahati mbaya au nzuri, ule ulikuwa ni wakati wa Cold War na Ujerumani Mashariki walitoa mafunzo mengi kwa Usalama wa Taifa. Tanzania ilikuwa na itelejensia ya hali ya juu.

Inteligensia hii ya kukamata watu hovyo na kuuangusha uchumi ??
 
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason

Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa

Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru



Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo

'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'

Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
Acha ujinga, kwani kila uvumi uliosikia enzi zile ilikuwa ni habari rasmi?

Yale yote tuliyosikia kuhusu Mzee Kawawa, kama vile hajui kusoma n.k...au kifimbo cha Mwalimu kilikuwa na uchawi wewe na wenzako mliamini?

Kama walipishana basi ni lazima kila mmoja alikuwa na lake analosimamia, ndio kilichotokea, na yaliyopita si ndwele...
 
Haka ka binti Sky Eclat kana powers fulani ndani yake, zinaitwa the powers of auto suggestion, kama ilivyo hyonotic powers, sasa katuletea picha ya mtu tuu na kutuambia ni Nyerere, kupitia hizo powers zake, wengi wakiangalia tuu hiyo picha, wanamuona Nyerere, wachache wakauliza mbona sio Nyerere, kakajibu ni Nyerere, hivyo wameamini.​
Mimi bahati nzuri Nyerere sio namjua kwenye picha, bali nimefanya nae kazi South South Commission, hivyo kwa kuiona tuu hiyo picha, unaona kabisa huyo sio Nyerere.​
Amini macho yako, ukimuona ni Nyerere, kaamini hako kabinti, ukimuona sio, niamini mimi.​
P​
Mimi nilichoelewa ni kwamba hata kama Mwalimu ndio alikuwa best man ila hapo kwenye hiyo picha hayupo.
 
Huyu Kambona alijaa uzungu mwingi, angalia muonekano wake, anavyoongea hicho kiingereza kwa makidai, harusi kafungia huko huko....ni wazi wasingeiva na Mzee.
 
Acha ujinga, kwani kila uvumi uliosikia enzi zile ilikuwa ni habari rasmi?

Yale yote tuliyosikia kuhusu Mzee Kawawa, kama vile hajui kusoma n.k...au kifimbo cha Mwalimu kilikuwa na uchawi wewe na wenzako mliamini?

Kama walipishana basi ni lazima kila mmoja alikuwa na lake analosimamia, ndio kilichotokea, na yaliyopita si ndwele...


Mbona nyimbo za kumkashifu Kambona zilikuwa nyingi na nyengine zikiimbwa mashuleni na redioni
 
Acha ujinga, kwani kila uvumi uliosikia enzi zile ilikuwa ni habari rasmi?

Yale yote tuliyosikia kuhusu Mzee Kawawa, kama vile hajui kusoma n.k...au kifimbo cha Mwalimu kilikuwa na uchawi wewe na wenzako mliamini?

Kama walipishana basi ni lazima kila mmoja alikuwa na lake analosimamia, ndio kilichotokea, na yaliyopita si ndwele...


Msikilize huyo Mzee na Kisa cha Hanga , Kambona na Nyerere

 
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason

Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa

Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru



Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo

'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'

Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere

Mfano mdogo wa propaganda kali za Mwalimu ni kuwa Iddi Amini anakula nyama za watu. Ajabu hadi leo watanganyika wanaamini hivyo. [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom