Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Harusi ya Oscar na Flora Kambona iliyofanyika katika kanisa juu la Mtume Paulo mjini London

Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason

Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa

Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru



Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo

'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'

Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
 
Kweli old is gold..... Flora amependeza bila mauchafu waanayopaka wakinadada usoni
 
Msikilize mwanamziki nguli wa wakati huo Salum Abdallah akiwasifu viongozi walioleta muungano, akina Nyerere, Karume, Kawawa, Kambona, Lusinde na Bomani

 
Hawa watu walipishana kifikra hivyo ndiyo maana yakatokea yaliyotokea. Wakati Kambona aliishi kibepari Nyerere aliishi kijamaa na alikuwa akienda China, Urusi na Ulaya mashariki kujifunza jinsi ya kukomaza ujamaa Tanzania. Kifupi wasingeiva na walivyoongoza ndivyo wameishape Tanzania ya leo kuwa hivi ilivyo.
 
Hawa watu walipishana kifikra hivyo ndiyo maana yakatokea yaliyotokea. Wakati Kambona aliishi kibepari Nyerere aliishi kijamaa na alikuwa akienda China, Urusi na Ulaya mashariki kujifunza jinsi ya kukomaza ujamaa Tanzania. Kifupi wasingeiva na walivyoongoza ndivyo wameishape Tanzania ya leo kuwa hivi ilivyo.
Huwa ninawaza kambona angekuwa waziri mkuu meenye maamuzi asingetuacha tuoze kwenye lugha ya Malkia kama tulivyo. Maana ninasikia mjomba alitema lile la Oxford. Ninadhani hiyo pia ilikuwa sababu moja ya kupendwa na mabeberu.
 
Huwa ninawaza kambona angekuwa waziri mkuu meenye maamuzi asingetuacha tuoze kwenye lugha ya Malkia kama tulivyo. Maana ninasikia mjomba alitema lile la Oxford. Ninadhani hiyo pia ilikuwa sababu moja ya kupendwa na mabeberu.

Msikilize hapa Kambona akieleza Jinsi alivyodeal na maasi ya Jeshi ya mwaka 1964

 
View attachment 1051542

Julius Nyerere ndiye alikuwa mpambe wa bwana harusi.
Miaka mingi baadae...
tapatalk_jpeg_1528573489902.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeisikiliza na kuirudia tena na tena. Alikuwa na Kiingereza kizuri sana.

Yes utadhani waingereza wenyewe!
Alikuwa na kiingereza kizuri halafu alikuwa na substance!
Hivi una habari serikali iliendesha propaganda dhidi yake kwa muda mrefu lakini alipofariki serikali hiyohiyo ndiyo iliyogharamia gharama za kuuleta mwili wake TZ?
 
Kambona aliingizwa mkenge tu na kundi lililomchukia nyerere

Hata km ni wewe ungekuwa rais kipindi nchi inapata uhuru halafu watokee watu wanayoyumbisha ujenzi wa msingi wa taifa sidhani km ungewachekea



God first

Kambona aliamini katika capitalism alimponda sana nyerere na socialism yake akiamini ipo siku itafeli. Jamaa kipindi chake alikuwa ndo waziri pekee aliyekuwa anamchallenge sana nyerere. Nyerere alikuwa puppet wa china na kambona alimwambia hilo na alipiga sana uhusiano wa nyerere na china kwa kuwa hakuwa mjamaa.
Arusha declaration aliikataa katukatu akamwambia nyerere asiforce taifa liingie kwenye ujamaa lotelote pasipo hata pilot study alishauri bora watest kwenye sehemu chache wakiona kuna tija ndo wafanye. Inshort jamaa ni kati ya wale mawaziri waliokuwa wanamchallenge sana nyerere na kupiga baadhi ya vitu wakisimamia misimamo yao.
Unlike kawawa ambae alikuwa pupet tu wa nyerere yeye kila kitu ndio mzee kambona alikuwa na simamia yeye anachoona ni sawa bila kujali ata kama ni tofauti na nyerere.

Kwa nchi zetu za kiafrika na maraisi wetu madictactor ukiwachana ukweli mchungu tofauti na wanavyotaka wao kusikia basi lazima upotezwe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Acha kusingizia wazungu kwa kila kitu, Nyerere alipotaka kupinduliwa na jeshi mwaka 1964 nani alizima maasi yale kama si askari wa muingereza?. kama wangetaka aondoke si wangemuondoa tu mwaka huo nakumuachia nchi Kambona aliyeshiriki kikamilifu kuzima yale maasi?

Tena inasemekana ni kambona pekee ndiye aliyeenda kambin kuongea na wakuu wa majeshi kuwasikiliza na kunegotiate nao. Wakati huo nyerere na kawawa wakiwa wamefichwa wasionekane. Kambona kaenda kunegotiate na wajeda kusikiliza madai yao na kuwatuliza kisha kumrudisha nyerere on power angekuwa anakitaka iko kiti cha uraisi huo ndo ulikuwa muda wake kwa sababu he was the defensive minister na jeshi lilikwa linamkubali sana kuliko hata huyo nyerere mwenyewe. Jamaa inabidi ajiulize kama alikuwa anataka kumpindua nyerere kwa nini hakumpindua muda huo na yy awe raisi?? Muda huo nyerere was very weak na alikuwa amejificha jeshi lisimpate isingekuwa kambona leo tungekuwa na historia tofauti ya nchi yetu.

Nadhani hii ndo sababu pekee kwa nn nyerere hakuamua kumuua na kumwacha asepe alipokuwa anakimbia nchi. Nyerere alilipa tu fadhila!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tena inasemekana ni kambona pekee ndiye aliyeenda kambin kuongea na wakuu wa majeshi kuwasikiliza na kunegotiate nao. Wakati huo nyerere na kawawa wakiwa wamefichwa wasionekane. Kambona kaenda kunegotiate na wajeda kusikiliza madai yao na kuwatuliza kisha kumrudisha nyerere on power angekuwa anakitaka iko kiti cha uraisi huo ndo ulikuwa muda wake kwa sababu he was the defensive minister na jeshi lilikwa linamkubali sana kuliko hata huyo nyerere mwenyewe. Jamaa inabidi ajiulize kama alikuwa anataka kumpindua nyerere kwa nini hakumpindua muda huo na yy awe raisi?? Muda huo nyerere was very weak na alikuwa amejificha jeshi lisimpate isingekuwa kambona leo tungekuwa na historia tofauti ya nchi yetu.

Nadhani hii ndo sababu pekee kwa nn nyerere hakuamua kumuua na kumwacha asepe alipokuwa anakimbia nchi. Nyerere alilipa tu fadhila!


Sent from my iPhone using JamiiForums
He was a lawyer by profession and was a good negotiator too. He had a charisma that is what I was told.
 
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason

Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa

Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru



Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo

'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'

Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
Sure!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewapenda hao madada maids.... Wamevaa nadhifu kwa kujisetiri simple asilia and still beauty.
Maids wa bongo waige haya sio kuvaa mipasuo na bana hips mbele ya mume wa mwenzao looh!!!

So wanaume wote wanaweza kuvumilia majaribu.
Hii harusi ilikuwa classic, nimependa nguo ya bibi harusi.
 
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason

Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa

Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru



Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo

'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'

Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
Siyo kwamba watu hawakutaka ku reason, ni kwamba walibanwa vilivyo. Mwl hakupenda kujadiliana na yeyote yule aliyepinga mawazo, fikra au maoni yake. Baada ya Uhuru positions zote za juu serikalini na ktk chama zilikuwa chini ya Mchonga.
Aliamini kuwa yuko sahihi daima.
"Zidumu fikra sahihi za Mwl"!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom