Harusi za Wasomali ni nusu vita

Duh! Mwaliko wa harusi kama hii wala sihangaiki nao.
 
mtoto akizaliwa badala ya kupewa kitoy cha gari achezee anapewa gobolee
 
kiruu sasa ukiwa na manzi dizaini hiyo ukaipea ukuni haijaridhika ikamaindi kiwaki et umeichafua si utakula six inch bullet bwashee,hapo sasa kuioa hiyo ni Ku dig graveyard yakujizika mwenyewe?
 
Duuh
 
Sasa kama harusi wenyewe ndio mitutu yote hiyo siku ya kufumania huyo mgoni si atapigwa RPG kabisa
Hapana, wanatumia sheria za Kiislam, hivyo wakikufumania sheria inachukua hatamu.
 
Hahahahahahaha duuh 😂😂😂
 
Yeah kuna BFA za aina nyingi zinawekwa mbele hata huwezi kujua na hizo nyingi zina tumiwa na waigizaji huwezi kujua kwamba silaha imefungwa ADAPTER.

View attachment 1715883
Chief bado unaendelea kujibizana na mtu hata asie na uelewa? Achana nae! Kama mtu haelewi hata gas chamber inavyofanya kazi ataelewa kweli kuwa AK 47 haiwezi kupiga blanks mfululizo kweli? Achana nae!
 
Reactions: 7ve
Mkuu nimeskia eti si halali kuishi na mwanamke wa kisomali au kumuoa ni kosa kwa sheria yao huko kama wewe sio msomali wakikumata wanakuua,
 
Kuna makabila mengine huwa yana Uchu na kifo
 
Afrika kulikuwa na tabia za nchi kuwa na magari yaliyotengenezwa na mkoloni aliyetawala nchi husika mfano somalia walitawaliwa na waitaliano hivyo magari yao yakawa ni FIAT kirefu Federation Italiano Associon Torino Kwa Tanzania magari yalikuwa mengi Leyland na Landrover ya Uingereza aliyetutawala a Benzi za mjerumani aliyetutawala

Mjapani ndie kaja kufukuza magari ya wakoloni na Toyota zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…