cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara Bahati mbaya risasi zinapenyaa kwa watu.
Hatari kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara Bahati mbaya risasi zinapenyaa kwa watu.
Hatari kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
Mwanamke wa kisomali mwenyewe hataki mtu kama wewe Goigoi ngozi ya goti, hela za kuunga. Daima mwanamke wa kisomali ni wa kulelewa ndani na vacation abroad...Dubai, Venice, Paris na New York. Endelea na hao hao wa kinondoni.
ni dhahir kwamba mikiki mikiki hiyo ndo ya kukufanya chekecheke/chujio la kiepe siku una cheattView attachment 1715207
Maisha ya Wasomali yamejaa mikiki miki mingi tangu kuzaliwa hadi kifo. Ni watu wasioijua amani, na huenda wala hawaipendi.
Wamezaliwa na bunduki na wanakuta nazo. Misibani wanafyatua marisasi na harusini pia.
Wasomali ndio wababe wa Kiafrika, hawa walilishinda Jeshi la Marekani hadi Wamarekani wakakimbie na hawana hamu Tena ya kurudi Somalia.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] DadekiiiSisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
Hakikani dhahir kwamba mikiki mikiki hiyo ndo ya kukufanya chekecheke/chujio la kiepe siku una cheatt