Harusi za Wasomali ni nusu vita

Harusi za Wasomali ni nusu vita

Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke wa kisomali mwenyewe hataki mtu kama wewe Goigoi ngozi ya goti, hela za kuunga. Daima mwanamke wa kisomali ni wa kulelewa ndani na vacation abroad...Dubai, Venice, Paris na New York. Endelea na hao hao wa kinondoni.

Et wa kinondoni [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Na kapicha basi mkuu au umeogopa ukipiga picha unakula shaba
 
Hata wakati Mwalimu anamshawishi Kenneth Kaunda kuiwekea vikwazo Serikali ya makaburu na kutumia bandari ya Dar ndipo kukatakuwa madereva wa Magari ya mzigo ndio waliongea na Raisi wa Somalia akatuma madereva wa Mafiati na kukaasisiwa kampuni ya ZAMBIA TANZANIA ROAD HAULAGE ilikuwa ni mkakati wa kuitenga serikali ya Makaburu

Kumbuka fiati ilikuwa na gea mbili na haikuwa rahisi kuiendesha
 
View attachment 1715207

Maisha ya Wasomali yamejaa mikiki miki mingi tangu kuzaliwa hadi kifo. Ni watu wasioijua amani, na huenda wala hawaipendi.

Wamezaliwa na bunduki na wanakuta nazo. Misibani wanafyatua marisasi na harusini pia.

Wasomali ndio wababe wa Kiafrika, hawa walilishinda Jeshi la Marekani hadi Wamarekani wakakimbie na hawana hamu Tena ya kurudi Somalia.
ni dhahir kwamba mikiki mikiki hiyo ndo ya kukufanya chekecheke/chujio la kiepe siku una cheatt
 
Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Dadekiii
 
Back
Top Bottom