Harusi za Wasomali ni nusu vita

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke wa kisomali mwenyewe hataki mtu kama wewe Goigoi ngozi ya goti, hela za kuunga. Daima mwanamke wa kisomali ni wa kulelewa ndani na vacation abroad...Dubai, Venice, Paris na New York. Endelea na hao hao wa kinondoni.

Et wa kinondoni [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Na kapicha basi mkuu au umeogopa ukipiga picha unakula shaba
 
Hata wakati Mwalimu anamshawishi Kenneth Kaunda kuiwekea vikwazo Serikali ya makaburu na kutumia bandari ya Dar ndipo kukatakuwa madereva wa Magari ya mzigo ndio waliongea na Raisi wa Somalia akatuma madereva wa Mafiati na kukaasisiwa kampuni ya ZAMBIA TANZANIA ROAD HAULAGE ilikuwa ni mkakati wa kuitenga serikali ya Makaburu

Kumbuka fiati ilikuwa na gea mbili na haikuwa rahisi kuiendesha
 
ni dhahir kwamba mikiki mikiki hiyo ndo ya kukufanya chekecheke/chujio la kiepe siku una cheatt
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Dadekiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…