Hasara 10 na faida 5 za kuchepuka katika ndoa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kuta anachezea paipu za wana kila mara.
Si unajua wanawake na sifa za kimuonekano/za nje/za kuambiwa/kusifiwa
 
Hivi ni mwanamme au mie mende nawe mavi, achana na mimi mwehu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona la mende limekugusa nami nakazia hapohapo..🤣😅

Sawa mi mavi ila ya ng'ombe
Sasa we uharo wa binadamu asiefahamika sijui unakipi cha kuteta😅😅

Mkuu usikasirike ni utani dah!
 
Punguza ubaharia mkuu UKIMWI na KORONA bado vipo saaaana😀😀😀
 
Hata mimi sijui, labda tumuulize baada ya hasira kupoa😎
Jitahidi kumuuliza inaonekana ujumbe wangu umemuuzi.. lkn mi nimezungumzia kinamba kitu kikiwa kidogo si kinagawanwa kama hakitoshi wote!!
Sasa ye anataka hao wengine wakose wakati wanaume tupo wachache..😅
 
Tuwekee na za Warembo pia.
Mzee baba ntaleta si unanijua tena mi na nyuzi zangu tangu kitamboooo, waermbo hawakosekani tena wa hapahapa bongo
 
Reactions: BAK
Jitahidi kumuuliza inaonekana ujumbe wangu umemuuzi.. lkn mi nimezungumzia kinamba kitu kikiwa kidogo si kinagawanwa kama hakitoshi wote!!
Sasa ye anataka hao wengine wakose wakati wanaume tupo wachache..😅
Mkuu usinitafutie matatizo aisee. 😕
 
we ng'ombe utamshaurije mkulima asikukamue....tulia hadi ukiwa na uwezo wa kuvaa hivyo viatu
 
Principle yangu moja tu, I will never cheat my wife, though haniamin na ananituhumu kila siku..kwa vile sifanyi nina amani ya moyo na sijali anavyosema, siku nkigundua ananisaliti anarudi kwao, full stop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasara namba 8 hutokea kwa wanaume wapumbavu tu. Mchepuko kamwe hauwezi kunikosesha uhuru na familia yangu. Labda aniweke kwenye chupa.
 
Dada mbona povu sana? Kwataarifa yako 90% ya wanaume, wana michepuko ukubali usikubali. Na hiyo sii kwamba wao ni malaya, hapana. Tangu enzi za kuumbwa kwa ulimwengu, tulikuwa free kabisa kufanya hayo tena mbele za Mungu mwenyewe. Kama wewe ni muislam utaelewa hili, na kama ni Mkristo, muulize Sarah, muulize mchumba wa Yakobo kilichompata. Jiweke kwenye nafasi ya mke mkubwa wa Solomoni, kisha ulete mrejesho. Kilichobadilika ni kuwa, wao walirasimisha mahusiano yao wakati sisi tumepigwa limitation na wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…