Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wanapiga dili kwenye mikataba, mikataba mingi ni ya Rostam Azizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule anatakiwa afe tena mara 6Hajapumzika la hasha,bado yuko kuzimu anajutia mateso aliyokuwa akiwafanyia Watanzania wasio na hatia.
Kalemani alikuwa anafanya vizuri sn kuliko huyu mpiga diliHivi huyo Kalemani wenu yeye angeweza kuzuia kila kitu au
Hukumu huanzia duniani.Hatima ya binadamu aijuaye Mungu tu, hukumu yake ndiyo ipo mikononi mwake pia. Ushawahi kufika kuzimu ukamwona?
Tindu Lissu huyu aliyewahi kula fedha ya barick na kuja kututishia kuwa tusivunje mkataba,tutashitakiwa miga.kweli watanganyika hatuko siriasy na rasilimali zetu ndio maana tunaendelea kuwa masikini Wakati tunazoraslimali nyingi za kututoa katika umaskini.Ukweli mtupu.
Tundu Lissu ni mzalendo kweli kweli
Tindu Lissu huyu aliyewahi kula fedha ya barick na kuja kututishia kuwa tusivunje mkataba,tutashitakiwa miga.kweli watanganyika hatuko siriasy na rasilimali zetu ndio maana tunaendelea kuwa masikini Wakati tunazoraslimali nyingi za kututoa katika umaskini.
Wewe ni empty kichwani unaongea Mambo ambayo yanakuzidi kimo,eti tulishitakiwa na Accacia tukaokolewa na Barrick,Wewe unajua hao Accacia walikujaje hapa nchini?tafuta tarifa ujisomee uone Accacia walikujaje hapa,akuna mzungu wa kukuurumia kama ataona nafasi ya kupata hela,acha kudanganywa na Lissu eti Barrick walituokoa, wakati Barrick na Accacia ni watoto wa baba mmoja...Na Magufuli alihongwa kiasi gani mpaka akakubali tulipwe kishika uchumba cha usd 300 million badala ya usd 190+ billion?
..Na hicho kishika uchumba tulikuwa tunalipwa kidogo kidogo na haijulikani kama wamemaliza kutulipa au la.
..Na kwa taarifa yako tulishtakiwa na Accacia na tulikuja kuokolewa na Barrick.
Wewe ni empty kichwani unaongea Mambo ambayo yanakuzidi kimo,eti tulishitakiwa na Accacia tukaokolewa na Barrick,Wewe unajua hao Accacia walikujaje hapa nchini?tafuta tarifa ujisomee uone Accacia walikujaje hapa,akuna mzungu wa kukuurumia kama ataona nafasi ya kupata hela,acha kudanganywa na Lissu eti Barrick walituokoa, wakati Barrick na Accacia ni watoto wa baba mmoja.
Ndio maana nimekwambia kama haujui mambo mengine bora kunyamaza, kumbuka hao akina Accacia na Barrick walikuwepo kisheria tokea henzi za Mkapa,akuna Mtu aliyewagusa, sababu kwa ujinga wa mikataba mibovu tuliyoingia,ilibidi Selikari ya Magufuli itumie akili kubwa ili kuwaingia iliwaweze kuvunja mikataba hiyo ya kijinga, Wewe unaangalia kishika uchumba tu,haungali,mafanikio yaliyopatakana baada ya kuvunja mkataba, Sasahivi tunapata 16% ya mrabaa kutoka 3%Sasahivi inabidi wafungue account zao za mauzo hapa nchini kitu kilicho kuwa akipo.Makinikia hayasafirishwi tena hata yakisafirishwa lazima serikali inaweka watu wake kujua kilichopatika,kitu ambacho akikuwepo tokea hapo kuna faida ya 50/50 baada ya kutoa cost yao, Sasahivi inabidi company yao kujiorozesha katika mashirika ya hisa, mambo Mengi yalifanyika ila nyinyi kwasababu mnadanganywa na Lissu amwezi kuona,eti tuwaguse tutashitakiwa miga,mwanasheria nguli anaogopa kushitakiwa,alafu anaomba urais,ujinga mtupu...twende taratibu.
..haya mambo hayataki hasira.
..kwanza tueleze madai ya usd 190 billion dhidi ya accacia / barrick yameishia wapi.
..pili tueleze accacia wamepotelea wapi, kwanini hawapo sasa hivi?
..tatu kwanini tulikubali kishika uchumba cha usd 300 million na kulipwa kidogo kidogo? Je, barrick wamemaliza kulipa kishika uchumba?
..nne sote tunakubaliana kuwa accacia walitupiga. Sasa kwanini hatukuwashtaki ili tupate haki yetu? Je kuna ndugu zetu walihongwa ili Tz isishtaki?
NB:
..taarifa za accacia kutushtaki zilikuja hapa Jamii Forums ila vijana hamjisumbui na hamtaki kabisa kusoma.
Ndio maana nimekwambia kama haujui mambo mengine bora kunyamaza, kumbuka hao akina Accacia na Barrick walikuwepo kisheria tokea henzi za Mkapa,akuna Mtu aliyewagusa, sababu kwa ujinga wa mikataba mibovu tuliyoingia,ilibidi Selikari ya Magufuli itumie akili kubwa ili kuwaingia iliwaweze kuvunja mikataba hiyo ya kijinga, Wewe unaangalia kishika uchumba tu,haungali,mafanikio yaliyopatakana baada ya kuvunja mkataba, Sasahivi tunapata 16% ya mrabaa kutoka 3%Sasahivi inabidi wafungue account zao za mauzo hapa nchini kitu kilicho kuwa akipo.Makinikia hayasafirishwi tena hata yakisafirishwa lazima serikali inaweka watu wake kujua kilichopatika,kitu ambacho akikuwepo tokea hapo kuna faida ya 50/50 baada ya kutoa cost yao, Sasahivi inabidi company yao kujiorozesha katika mashirika ya hisa, mambo Mengi yalifanyika ila nyinyi kwasababu mnadanganywa na Lissu amwezi kuona,eti tuwaguse tutashitakiwa miga,mwanasheria nguli anaogopa kushitakiwa,alafu anaomba urais,ujinga mtupu.
DuuNdio maana nimekwambia kama haujui mambo mengine bora kunyamaza, kumbuka hao akina Accacia na Barrick walikuwepo kisheria tokea henzi za Mkapa,akuna Mtu aliyewagusa, sababu kwa ujinga wa mikataba mibovu tuliyoingia,ilibidi Selikari ya Magufuli itumie akili kubwa ili kuwaingia iliwaweze kuvunja mikataba hiyo ya kijinga, Wewe unaangalia kishika uchumba tu,haungali,mafanikio yaliyopatakana baada ya kuvunja mkataba, Sasahivi tunapata 16% ya mrabaa kutoka 3%Sasahivi inabidi wafungue account zao za mauzo hapa nchini kitu kilicho kuwa akipo.Makinikia hayasafirishwi tena hata yakisafirishwa lazima serikali inaweka watu wake kujua kilichopatika,kitu ambacho akikuwepo tokea hapo kuna faida ya 50/50 baada ya kutoa cost yao, Sasahivi inabidi company yao kujiorozesha katika mashirika ya hisa, mambo Mengi yalifanyika ila nyinyi kwasababu mnadanganywa na Lissu amwezi kuona,eti tuwaguse tutashitakiwa miga,mwanasheria nguli anaogopa kushitakiwa,alafu anaomba urais,ujinga mtupu.