Hasara za kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Hasara za kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Kuna Wanawake wanapenda kutubania Sana sisi wanaume kumbe wanaumiaga kiasi hicho?? Alafu yalivyo majinga hata huwa hayajistukii.Washenzi Sana!
 
Inawezekana maana mimi nasoma comments huku nimenuna, na hasira juu
 
Madhara:-
  • Kuongea pumba
  • Kuwa mkali mkali
  • Kucheka cheka hovyo kwa vitu visivyochekesha
  • Kutembea huku ukitikisa kiuno ''shake well before use.''
 
Sasa huyu bibi anapitia wakati gani ?

20230605_152540.jpg
 
Ebu kwanza niulize swali.....
Huo muda mrefu specifically ni kuanzia siku ngapi...??
 
Mbona kunawatu makini sana wamepita katika hii Dunia na kufanya maajabu ya kisayansi na taarifa zao zina sema mapenzi kwao sio ishu hawakuwa wanapoteza umakini katika kazi?

Aisee mpungaze zinaa kizazi kibaya na Cha zinaa.
Yah kama Isaac Newton,naskia akuwa na demu😀😀ila historia Ina uongo mwingi sana,Jesus naye upande WA relationship hauzungumziwi kabisa
 
Back
Top Bottom