Hasara za kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Hasara za kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Ngoja waje kuchukua miongozo... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Hasara za Kufanya Mapenzi Mara Kwa mara

1.Kufikiria Kama maisha Bila Kufanya Mapenzi Haiwezekani

2.Kufikiri Kuwa Mtu asipofanya Mapenzi muda mrefu Atapata Madhara Tajwa Hapo Juu
Wabongo tunapenda ngono balaa alafu hakunachochote Cha maana tulichotengeneza mpaka Sasa hivi chenye ubora chenye kudumu haswa,
nguo tu tunajazana karume pale kusagura mitumba, au ndo tuseme atujangonoka kisawasawa Ili akili zitukae sawa tujetutengeneze vitu vyetu.

Mtuu ukae utake kuunda kitu makini, hivi utakuwa na hamu na hiyo ngono.
Watazame wajeda WA Korea kaskazini wanavyo pambana kuboresha silaha zao Ili wasiwe wanyonge unadhani wanamuda sana na ngono kama alivyosema mtoa mada
 
Mbona Yesu hakuumwa kichwa
Inaonekana maisha ya Yesu huyajui vizuri
Fuatilia kwa umakin dada aliyeitwa Maria Magdalene.
Fuatilia kwa kina mtindo wa Yesu kula na kunywa na makahaba hadi mitume wanazodolewa!
Kifupi jamaa alijua kula bata za wakati ule.
Na usisahau alipenda mno mvinyo kias kwamba ndo muujiza wa kwanza kuufanya huko kana ilimrad sherehe iendelee.
Usisahau kahaba alimfuta miguu kwa nywele zake za kiyahudi akafurahia sana massage!
 
Bandari inauzwa huko,sheria mpya ya TISS ya kuwapa kinga bila kushtakiwa inapitishwa kiulaini mjengoni.
Kijana anawaza faida za kutomb@n@ serious!!?.!!)!!?*"#;!+6#;$ dk sgsma zksbs !!((
 
Isaac newton,LV hata michael angelo hatujaona pahala kwamba walikua na dem..lakn ndio waasisi wa vitu kibao tena fikirishi
 
Uongo, cute wife anafanya kila siku lakini yote hayo anayo
 
Back
Top Bottom