KASHAMBURITA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 204
- 655
- Thread starter
- #61
Shukrani mkuuKwa asilimia kubwa ni kweli ila kwa wanawake hizi ulizoandika zinawasumbua sana.. ni vile ni ngumu kuzisoma saikolojia zao mpaka uwe mbobezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuuKwa asilimia kubwa ni kweli ila kwa wanawake hizi ulizoandika zinawasumbua sana.. ni vile ni ngumu kuzisoma saikolojia zao mpaka uwe mbobezi
Wabongo tunapenda ngono balaa alafu hakunachochote Cha maana tulichotengeneza mpaka Sasa hivi chenye ubora chenye kudumu haswa,Hasara za Kufanya Mapenzi Mara Kwa mara
1.Kufikiria Kama maisha Bila Kufanya Mapenzi Haiwezekani
2.Kufikiri Kuwa Mtu asipofanya Mapenzi muda mrefu Atapata Madhara Tajwa Hapo Juu
Mbona Yesu hakuumwa kichwa
Inaonekana maisha ya Yesu huyajui vizuriMbona Yesu hakuumwa kichwa
Hizo zingine cna hakika, ila nilizotaja ni kweliiiiihAhhaha nyingine je
[emoji1666]Kutosex muda mrefu ina faida kiroho tu ila kimwili ni matatizo tupu,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madhara:-
- Kuongea pumba
- Kuwa mkali mkali
- Kucheka cheka hovyo kwa vitu visivyochekesha
- Kutembea huku ukitikisa kiuno ''shake well before use.''
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unajuaje hakuumwa?
Kuna siku yesu alifurusha vitu vya watu hekaluni inawezekana ni ukame nini?Na hakuwa na hasira za hovyo
Ngoja ubanwe na nyege..Utaacha tu huo ulokole wako uparamie mbususu ku pump huo upepo unaouponda hapaUbatili mtupu ,hakuna jipya , ni kama kujilisha upepo [emoji848]
We jamaa weweee utalaaniwa mkuu!!😂😂😂😂Kuna siku yesu alifurusha vitu vya watu hekaluni inawezekana ni ukame nini?
Sawa ,tulikuwepoNgoja ubanwe na nyege..Utaacha tu huo ulokole wako uparamie mbususu ku pump huo upepo unaouponda hapa
[emoji1787]Kuna siku yesu alifurusha vitu vya watu hekaluni inawezekana ni ukame nini?