Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Sayansi ya wapi hiyo? Mtu Mweusi tabu sana! Akina na Issac Newton walikuwa hawafanyi ngono kwa wingi kama sisi wabongo na ndo waligundua principle za vitu kibao! Wabongo wapenda ngono wanauza bandari kwa mkataba kama wa Mangungo! Hapo nani mdumavu wa akili?
Mkuyenge wa sir Issac we ndo ulikuwa unaushika Hadi useme hakuwa anafanya Sana ,,we ulikuepo kipindi hio kwanza
 
Hakuna madhara yoyote zaidi zaidi Mwili unaimarika zaidi maana zile mbolea zenye virutubishi vingi hazitolewi nje ovyo ovyo

Kwa wanaume Mwili unaanza kua smart na kuonekana vizuri muscles zinajijenga akiwa mtu wa mazoezi anakua na muonekano mzuri sana yaan imara zaidi

Kwa wanawake mbolea zake zinakua retained na kua converted kua mafuta mafuta kinachofuata unaona mtu anafumukafumuka km akiwa sio mtu wa mazoezi

Hasira hakuna binadamu asiekua na hasira, tena ukiwa sio mtu wa ngono ngono ndio unakua hauna hasira kabisa Ila ukiwa mtu wa ngono ngono hasira ni kugusa tu, I have been through this naongelea experience

Hasara:

Ni kwamba ukikaa bila kufanya sex kwa mda mrefu ukikutana na mtu itakuchukua mda kufikia kileleni wenyewe wanaita unapatwa na Hypoactive sexual desire disorder ( HSDD )
Vizuri
 
Nina miaka 25 na sijawahi kufanya mapenzi. Niko fit kabisa. People trust me na uwezo wa mwili uko byee kabisa. Na nimefanikisha baadhi ya malengo.
Siko interested sana na mapenzi mpaka hapo mbeleni baada ya miaka 3 ntakapo oa.
Sioni madhara yoyote labda wenaofanya ndo naona madhara kwao. Hasa wale wa hit and run.
 
🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu.

TAFITI zilizofanywa na wataalam wa masuala ya afya na saikolojia ya binadamu zinaeleza endapo ukikaa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa madhara yake ni makubwa.

Katika tafiti hiyo ya adolescent psychology research iliyofanywa mwaka 2016 na J. Dennis Fortenberry, (MD MS) na kuichapisha katika chapisho lake la Puberty and Adolescent Sexuality inaainisha madhara hayo ni Pamoja na 👇👇👇

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Chunusi au kuwa na ngozi ngumu.
5. Mawenge mawenge.
6. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.

🌠Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo na kukosa furaha.

Wanandoa, wapenzi ama wachumba wanaofanya tendo la ndoa mara kwa mara wanatajwa kuwa wapo kwenye mstari wa furaha Zaidi kuliko ambao hawafanyi kabisa.

🌠Msongo wa mawazo na Kusahau
Jambo jingine ni kupendelea sana kuangalia picha za uchi (picha za ngono),
Kusahausahau, kupendelea habari zinazohusu mapenzi, pia ni rahisi sana kupatwa na msongo wa mawazo ambao wengi hupelekea kujiua.
Pia watu hawa hupenda kurukia rukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu).

🌠Ukuta wa uke kuwa mwepesi na mkavu

Hii ni kwa mwanamke tissue zinazozunguka njia ya kizazi ya mwanamke zinakuwa nyembamba, nyepesi na zinakaza (tight).

Anapungukiwa majimaji ya kulainisha njia ya uzazi (uke) hivyo anaweza kutokwa damu wakati wat endo la ndoa.

🌠Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi na wakati mwingine inaweza kumsababishia matatizo wakati wa kujifungua (complicated birth).

🌠Tezi Dume

Kwa wanaume inaweza kuwa rahisi zaidi kupata tezi dume, katika tafiti iliyofanywa kwa wanaume 30,000 waliobainika kufanya tendo la ndoa na kufika kileleni mara 21 kwa mwezi, walionekana ni nadra sana kupata ugonjwa wa tezi dume kuliko ambao hawafanyi kabisa tendo la ndoa kwa muda mrefu.

🌠Kinga ya Mwili

Kufanya tendo la ndoa kwa mpangilio mzuri (regular) inafanya kinga ya mwili kuwa active tofauti na ambaye hafanyi.

Tafiti zinasema wanaofanya mapenzi mara kwa mara wanapata nafasi ya kutengeneza antibody ziitwazo immunoglobulin ambazo zina kazi kubwa kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili.



Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫

Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Tuwe makini sana 👆🔥
 
Nina miaka 25 na sijawahi kufanya mapenzi. Niko fit kabisa. People trust me na uwezo wa mwili uko byee kabisa. Na nimefanikisha baadhi ya malengo.
Siko interested sana na mapenzi mpaka hapo mbeleni baada ya miaka 3 ntakapo oa.
Sioni madhara yoyote labda wenaofanya ndo naona madhara kwao. Hasa wale wa hit and run.
Nimeongeza Content, soma unambie umepona wapi
 
Sayansi ya wapi hiyo? Mtu Mweusi tabu sana! Akina na Issac Newton walikuwa hawafanyi ngono kwa wingi kama sisi wabongo na ndo waligundua principle za vitu kibao! Wabongo wapenda ngono wanauza bandari kwa mkataba kama wa Mangungo! Hapo nani mdumavu wa akili?
Soma tena content ya uwo uzi unambie sio sayansi humo ndani?
 
Hakuna ukweli hapo .
Sex Iko overrated sana.

Mbona Yesu kaishi 33 years bila sex na hakuwa na hasira za hovyo, Wala kuchekacheka na uwezo wake wa akili ulikuwa mkubwa kushinda wa MAFARISAYO wasomi.
Kakuta watu wanafanya biashara zao kwa uhuru tu aakanza kuwahshambulia huoni hizo ni hasira za haraka na hovyo hovyo
 
Maisha yenyewe mafupi
IMG_20230917_180527.jpg
 
Nimeongeza Content, soma unambie umepona wapi
Kiongozi, mi sijaona hayo madhara yanayoelezwa. Labda kama sijioni. Na suala la kuchekacheka nimesha experience kwa baadhi ya wanawake. Kama yatakuja huko mbeleni basi niombeeni, mana sasa hivi ndo mapenzi hayapo kichwani baada ya kugundua wadada zetu hawa mpaka uwe na hela ndo wanaweza tulia japo kwa kukucontrol.
Kama kuna madhara ya kisayansi ya kukosa hela naomba ulete huo uzi pia. Maana kisaikolojia yanajulikana sana. Asante
 
Kiongozi, mi sijaona hayo madhara yanayoelezwa. Labda kama sijioni. Na suala la kuchekacheka nimesha experience kwa baadhi ya wanawake. Kama yatakuja huko mbeleni basi niombeeni, mana sasa hivi ndo mapenzi hayapo kichwani baada ya kugundua wadada zetu hawa mpaka uwe na hela ndo wanaweza tulia japo kwa kukucontrol.
Kama kuna madhara ya kisayansi ya kukosa hela naomba ulete huo uzi pia. Maana kisaikolojia yanajulikana sana. Asante
Wewe ukisikia hamu ya kufanya mapenzi unafanyaga nn kujituliza?

Au hausikii kabisa
 
View attachment 2752480🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu.

TAFITI zilizofanywa na wataalam wa masuala ya afya na saikolojia ya binadamu zinaeleza endapo ukikaa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa madhara yake ni makubwa.

Katika tafiti hiyo ya adolescent psychology research iliyofanywa mwaka 2016 na J. Dennis Fortenberry, (MD MS) na kuichapisha katika chapisho lake la Puberty and Adolescent Sexuality inaainisha madhara hayo ni Pamoja na 👇👇👇

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Chunusi au kuwa na ngozi ngumu.
5. Mawenge mawenge.
6. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.

🌠Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo na kukosa furaha.

Wanandoa, wapenzi ama wachumba wanaofanya tendo la ndoa mara kwa mara wanatajwa kuwa wapo kwenye mstari wa furaha Zaidi kuliko ambao hawafanyi kabisa.

🌠Msongo wa mawazo na Kusahau
Jambo jingine ni kupendelea sana kuangalia picha za uchi (picha za ngono),
Kusahausahau, kupendelea habari zinazohusu mapenzi, pia ni rahisi sana kupatwa na msongo wa mawazo ambao wengi hupelekea kujiua.
Pia watu hawa hupenda kurukia rukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu).

🌠Ukuta wa uke kuwa mwepesi na mkavu

Hii ni kwa mwanamke tissue zinazozunguka njia ya kizazi ya mwanamke zinakuwa nyembamba, nyepesi na zinakaza (tight).

Anapungukiwa majimaji ya kulainisha njia ya uzazi (uke) hivyo anaweza kutokwa damu wakati wat endo la ndoa.

🌠Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi na wakati mwingine inaweza kumsababishia matatizo wakati wa kujifungua (complicated birth).

🌠Tezi Dume

Kwa wanaume inaweza kuwa rahisi zaidi kupata tezi dume, katika tafiti iliyofanywa kwa wanaume 30,000 waliobainika kufanya tendo la ndoa na kufika kileleni mara 21 kwa mwezi, walionekana ni nadra sana kupata ugonjwa wa tezi dume kuliko ambao hawafanyi kabisa tendo la ndoa kwa muda mrefu.

🌠Kinga ya Mwili

Kufanya tendo la ndoa kwa mpangilio mzuri (regular) inafanya kinga ya mwili kuwa active tofauti na ambaye hafanyi.

Tafiti zinasema wanaofanya mapenzi mara kwa mara wanapata nafasi ya kutengeneza antibody ziitwazo immunoglobulin ambazo zina kazi kubwa kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili.



Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫

Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Kwa uzoefu wangu, nathibitisha namba 1, 2, 4, msongo wa mawazo, na kuongezeka kwa hedhi ni kweli kabisa nimepitia hizo hali kwa kukaa zaidi ya miaka 3 bila kuzagamuliwa
 
Kwa uzoefu wangu, nathibitisha namba 1, 2, 4, msongo wa mawazo, na kuongezeka kwa hedhi ni kweli kabisa nimepitia hizo hali kwa kukaa zaidi ya miaka 3 bila kuzagamuliwa
Good kwa kuwa muaminifu.

Ni kweli sio lazima upate dalili za madhara yote, kila mwili una kiasi chake cha Hormone , na tunatofautiana .
 
Wewe ukisikia hamu ya kufanya mapenzi unafanyaga nn kujituliza?

Au hausikii kabisa
Mwaka mmmoja nyuma wakati nipo shule nilikua napiga ny*to. Lakini thanks God niliacha baada ya kuona nafsi yangu inanilaumu. For now nina stress za hela na kusoma sana. Hamu zikija nakumbuka kiapo nilicho apa kwamba nikirudia basi Mungu asiruhusu ndoto zangu zifanikiwe. Hivyo nafungulia mziki sana na kusoma
 
Mwaka mmmoja nyuma wakati nipo shule nilikua napiga ny*to. Lakini thanks God niliacha baada ya kuona nafsi yangu inanilaumu. For now nina stress za hela na kusoma sana. Hamu zikija nakumbuka kiapo nilicho apa kwamba nikirudia basi Mungu asiruhusu ndoto zangu zifanikiwe. Hivyo nafungulia mziki sana na kusoma
Nyeto ina mazara makubwa, unalegeza misuli ya uume wako. Unakuja kuona kimoja chali
 
Back
Top Bottom