Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Kabla ya kukutana na kibano cha YESU
emoji3.png
Hata kabla hajakutana na hicho kibano, Saul alikuwa mfuasi nguli wa dhehebu la Mafarisayo washika Torati walioshinda hekaluni wakichimba sheria.

Mambo ya kufukuzia mademu ilikuwa ni haramu kwake.
 
Hata kabla hajakutana na hicho kibano, Saul alikuwa mfuasi nguli wa dhehebu la Mafarisayo washika Torati walioshinda hekaluni wakichimba sheria.

Mambo ya kufukuzia mademu ilikuwa ni haramu kwake.
Ha ha ha alikulia kwa bibi yake àlikuja kuharibika kipindi cha mihemko ya ujana[emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hio ni
Sema tu ukweli, kila siku unahahirisha baadaye bby, mara kesho leo nimechoka sana, mara leo mafua, yaani leo mawazo ada za watoto wa dada si unajua Baba yao hajielewi hivi kichwa hakipo sawa tufanye kesho wewe ni mke wangu nipo kila siku, niambie humo ndani mnakuwaje !

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ngoma ngumu sana. Kwahio hatimizi majukumu yake tumsaidie
 
🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu, Hizi hazijathibitishwa na Daktari, It is by experience from wanaojua hilo game, ambazo ni

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Mawenge mawenge.
5. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.

Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫

Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Umebahatisha ya no .1
Hizo nyingine story
 
🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu, Hizi hazijathibitishwa na Daktari, It is by experience from wanaojua hilo game, ambazo ni

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Mawenge mawenge.
5. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.

Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫

Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Una-sex na nani ndio issue.Hata hiyo sex yenyewe must be moderate.Halafu ni emphasize kwamba sex sio lazima.Infact yanayozungumziwa about sex ni harakati tu za Shetani za kuwafanya watu wazini.

Niongeze kwamba wewe unachofundisha hapa subliminally ni promiscuity or sexual immorality,and that is not acceptable.Sex must be with your wife,any sex out of marriage is ungodly, evil,demonic and immoral.You are defiling your body if you sex out of marriage and that has far reaching consequences spiritually, if you believe in the one true God,that is YAWEH.However if you are a Satanist,that is a different story.And by the looks of it,you are a Satanist,otherwise you wouldn"t be advising people to be promiscuous or sexually immoral.

NB:You are sinning against your own body if you practise promiscuity or sexual immorality,naomba hilo lieleweke.

1 Wakorintho 6:15-20 inaliweka vizuri jambo hili.

1Wakorintho 6:15-20.
"15 Je! hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha!
16 Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu."
 
Back
Top Bottom